Ila kuna wafugaji wengine wako safi kabisa mzee mwenzangu, mfano ni Lowasa, ni kutoka ndani ya jamii hizo hizo za wafugaji, Au na yeye ananuka maziwa mzee mwenzangu [emoji41]Hahaaaaa
Usinambie na wewe ni jamii hiyo!! Sio kosa lako kwakuwa hukujiumba ila kwa aina ile ya ustaarabu hapana aseeeee daaaah! Mishipa ya fahamu za walau kajiaibu ka kibinadamu ilishakata yoote
😂😂😂 pepeta! kipindi cha kuvuna mpunga ndio zinakuwa nyingi
Pepeta ndio nini?Enheeeee...sasa imagine watu wana debe zima la pepeta wanatafuna bila kukoma na makelele yao yakiendelea , nyingine zimetapakaa pembezoni mwa midomo hadi kichefuchefu, mbaya zaidi uwe umekaa jirani nao ndio utanyeshewa mvua ya mimate hadi utatamani mwavuli.
Ni jamii ya aina yake aseeeee
Sasa hao wanajamii tajwa wakiwa watatu toka lfakara hadi Mikumi wanakutafunia debe[emoji23][emoji23][emoji23] pepeta! kipindi cha kuvuna mpunga ndio zinakuwa nyingi
Ila kuna wafugaji wengine wako safi kabisa mzee mwenzangu, mfano ni Lowasa, ni kutoka ndani ya jamii hizo hizo za wafugaji, Au na yeye ananuka maziwa mzee mwenzangu [emoji41]
Sidhani kama ananuka yule na sio jambo jepesiIla kuna wafugaji wengine wako safi kabisa mzee mwenzangu, mfano ni Lowasa, ni kutoka ndani ya jamii hizo hizo za wafugaji, Au na yeye ananuka maziwa mzee mwenzangu [emoji41]
Sasa hao wanajamii tajwa wakiwa watatu toka lfakara hadi Mikumi wanakutafunia debe
ni tamu sana ,lkn pia zinatumika kutengenezea Chauro,unazijua Chauro?!hv zinataste vip jaman
Sijawahi kula, mwanzoni nilijua ni mchele wanatafuna, wakati nastaajabu ya Musa kwa watu kutafuna debe zima!!!!!!! nikaambiwa ni pepetahv zinataste vip jaman
😂😂😂 mkuu mbavu zangu tafadhaliSasa hao wanajamii tajwa wakiwa watatu toka lfakara hadi Mikumi wanakutafunia debe
Sijawahi kula, mwanzoni nilijua ni mchele wanatafuna, wakati nastaajabu ya Musa kwa watu kutafuna debe zima!!!!!!! nikaambiwa ni pepeta
😂😂😂 yani umeelezea vzr mpk nikatengeneza image kbs ya tukio tajwaMmasai akifika anaposhukia (mara nyingi ni mbugani porini hamna hata nyumba na sio kituo cha gari kusimama na wakati huo basi liko spidi zaidi ya 120) basi atamgonga kondakta rungu la kichwa huku anamwambia shusha!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ni tamu sana ,lkn pia zinatumika kutengenezea Chauro,unazijua Chauro?!
Ukiona ni kama mchele lakini wanadai sio mchele japo inatokana na mpunga wakati wa mavuno. Sina uzoefu nayo kwakuwa sijawahi kujaribu kula
Mkuu wanautwaga kwny kinu,ndo mana unaona punje za mchele zinakuwa flatmpunga ambao haujakomaa wanaupika na kuuanika..then wanakua wanatafuna tu ndo starehe yao
Hahahaaaaaaa...rahaaa utamu[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] aisee raha sana jaman
Ni tamu sana zile, ni mithili ya 'bisi' [emoji41]Sijawahi kula, mwanzoni nilijua ni mchele wanatafuna, wakati nastaajabu ya Musa kwa watu kutafuna debe zima!!!!!!! nikaambiwa ni pepeta
fundi umeanzaHahahaaaaaaa...rahaaa utamu