Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Tatizo umezaliwa mjini, ebu Kaulize wazazi wako vizuri watakuambia (Naamini ipo).

Jibu swali we ni koo gani? Nimezaliwa mjini na kijijini nimekaa miaka karibia saba isitoshe nilivyomaliza shule nilirudi kufanya kazi huko.

Nilikuwa karibu sana na babu yangu mambo mengi alikuwa akinisimulia.
 
Fulaniherdsman.jpg
Nani huyo?
 
Jibu swali we ni koo gani? Nimezaliwa mjini na kijijini nimekaa miaka karibia saba isitoshe nilivyomaliza shule nilirudi kufanya kazi huko.

Nilikuwa karibu sana na babu yangu mambo mengi alikuwa akinisimulia.

angusI[654321]. Alafu sijaelewa mantiki yako, sijui unabisha nini wakati unaambiwa kuona kwa binamu kupo hata kwenye Ukoo wenu!
 
angusI[654321]. Alafu sijaelewa mantiki yako, sijui unabisha nini wakati unaambiwa kuona kwa binamu kupo hata kwenye Ukoo wenu!

Hivi hivi mnafeli mitihani unaulizwa kitu kingine unajibu kingine.

Kuna Koo Fulani zinatokea maeneo ya kiagata na Silorisimba hao ndio nafahamu Wanaoa binamu zao.

Kwetu hapana maana ningeenda kuoa moja ya binamu zangu maana watoto mashallah..
 
Mbona kama mnachanganya maelezo wakuu, nani yuko sahihi?
Hajielewi yule Kazaliwa mjini alafu bado anabisha tu!. Kwa sababu katika Ngano na Soga tulizokuwa tunasimuliwa sijawahi kuambiwa kitu kama hicho "kwamba ukoo fulani Binamu hawaoani na ni kwa sababu 1,2,3."!.
 
Wakurya hulelewa ktk mazingira/malezi ya kuwafanya wahimili kufanya kazi kwenye mazingira magumu eg. Jeshi n.k, wakurya ni wakarimu, wakurya wengi wanajua kuwa wizi ni njia halali ya kupata kipato(japo siyo wote), wakurya ni watafutaji wa mali ndiyo maana wametapakaa mijini na kila sehemu, wakurya ni jasiri bila kujali jinsia yao labda kama amekulia mjini, wakurya wanaongoza kwa kulima bangi huku wakisema kuwa ni dawa, wanakeketa na kutahiri wanaume, wanaoa wanawake wengi japo siyo wote, wanaoa binamu wa shangazi na mjomba ila siyo wa mama mdogo, wanauwezo mkubwa wa kurusha mishale kwa shabaha, pia ni wawindaji ktk mapori madogo na makubwa, wanapenda kumiliki silaha kwa ajili ya kujilinda au kuibia (kwa mfano: MWITA CHACHA MARWA,huyu alikuwa mwanajeshi aliyepigana VITA YA UGANDA lakini alichokifanya Tarime baada ya vita,imebakia stori).
Alifanyaje?
 
Hajielewi yule Kazaliwa mjini alafu bado anabisha tu!. Kwa sababu katika Ngano na Soga tulizokuwa tunasimuliwa sijawahi kuambiwa kitu kama hicho "kwamba ukoo fulani Binamu hawaoani na ni kwa sababu 1,2,3."!.

Kuzaliwa mjini sio hoja, miaka saba niliyokaa kijijini na babu yangu was natosha kufaham Mika na desturi zetu.

Utakuwa mwikoma wewe, ndio maana unaogopa kutaja maana Sifa zenu unazijua
 
Kuzaliwa mjini sio hoja, miaka saba niliyokaa kijijini na babu yangu was natosha kufaham Mika na desturi zetu.

Utakuwa mwikoma wewe, ndio maana unaogopa kutaja maana Sifa zenu unazijua
Haya bhana ila mpe jibu mtoa mada aliye zaliwa mjini kama wewe ila anafahamu kwamba "Binamu wa Kikurya wanaruhusiwa kuoana"!
 
Haya bhana ila mpe jibu mtoa mada aliye zaliwa mjini kama wewe ila anafahamu kwamba "Binamu wa Kikurya wanaruhusiwa kuoana"!

Unajua kuna wakurya orginal na wakurya majina. Mojawapo wewe ambae hujui koo yako na kama unaijua unaogopa kutaja shame on you.
 
Mbona hakuna Mukurya yeyote ariyechangia haboo?? Akichangia mumocha tuu ntakuambieni. Hao woote wariochangia naona ni baryisia tuu na basaghani mtaiya kibharaa
Mbuya mura,
Baryisia= Abharisya
Basaghani = Abhasaghane
Mtaiya= Motaya
Kibharaa = Kebhara
 
Back
Top Bottom