Dawa ni kutugaia sisi wote ambao tunaamini hamuwezi, na hapo ndo utatuonyesha kama mnaweza....adhabu yao hawa ngoja ipo jikoni
Wanaonewa au wanasimangwa kwa haki..??Wachaga wanaongoza kwa kusimangwa humu MMU.
Wanaonewa aisee. siku hizi kabila is not everything.Wanaonewa au wanasimangwa kwa haki..??
hivi ugoigoi ni kabila kumbe
hivi hadi karne hii watu mna'link kabila na ubunifu kitandani????? maana kuna mtu ni mchagga lakini amekulia kwa wazaramo and vice versa..... hayo ni mambo ya mtu binafsi na utashi wake
huyo atakuwa kakulia nje ya kwao.. Yaani umkute wa kishumundu, yereuwiiiii majangaWanaonewa aisee. siku hizi kabila is not everything.
waweza kuta Mchaga anamfunika mtoto wwa kitanga.
Si useme tu umelenga wachaga sasa mama?? Sasa nikuambie kuwa wachaga wa leo si wale uliokuwa unawafikiria!!! Na mchaga wa leo akikukamatia mumeo humpati tena ninakuambia kwa sababu kwanza mapenzi wameshayajua sana, ni wachapakazi, ni wapishi wazuri nyumbani, ni watunzaji wa familia vizuri hasa malezi kwa watoto, si tegemezi nikimaanisha kuwa wanajishughulisa nivyo hela ndogondogo za matumizi yao haziwapigi chenga!!! Sasa nioe mtaalam wa kitandani huku kila siku ananipiga mizinga ni ya nini!!! Mchaga kitu eti kila upande wako poa sana!!! Ukioa mchaga jua familia yako imetulia tuli hata homework za watoto wanafuatilia na vikao vya shule yaani acha kabisa!! Mahusiano mazuri ni zaidi ya kukatika mauno kitandani!!! Wanaume tunataka mama wa watoto tofauti na fundi kitandani!!!!
Kuna thread nyingine ni michosho tu. Tunavumilia maana kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni. Sidhani kama hata hao wa vijijini wana tabia hizo. Story na utani wa vijiweni mtu analeta hapa kama kitu halisi.
asante mkuuu
Nilisha piga marufuku mada za kudhalilisha wachaga humu jukwaani.
Mbona dada yako ni zigo sisemi?
Wachaga wako vizuri na soko lao liko juu.
Wanapata wachumba, wanaolewa, wanapata watoto, wanatunza familia mume na watoto, wanailetea familia maendeleo. Wew ulitakaje?
Halaf wachaga wengi papuchi zao znanuka sn jaman
asante sana waambie mkuu watu wamezid kila siku kuwa wachaga ni wavivu cijui tatizo ni nini
be blessed
Wanaojifanya wanajua sana mapenzi hawana kitu kichwani, tena kiuchumi wapo chini vile vile!!??