Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,047
hivi hadi karne hii watu mna'link kabila na ubunifu kitandani????? maana kuna mtu ni mchagga lakini amekulia kwa wazaramo and vice versa..... hayo ni mambo ya mtu binafsi na utashi wake
Kuna thread nyingine ni michosho tu. Tunavumilia maana kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni. Sidhani kama hata hao wa vijijini wana tabia hizo. Story na utani wa vijiweni mtu analeta hapa kama kitu halisi.