Makabila ambayo kitandani ni goigoi

Makabila ambayo kitandani ni goigoi

WACHAGA WACHAGA WACHAGA KIRUUUU

mti unaotupiwa mawe una matunda mazuri n matamu hayo makabila uliyoyatolea mfano wapo juu
jaribu uchagani kam hujaacha michepuko yooote
 
Shikamoo kichoi, yaani niseme tu wadogo zangu wawili walioa wachaga baada ya kuona mimi mke wangu. Ni mmoja tu alioa kabila lingine na alikuwa na mtu wake wa kichaga sema ikatokea akachepua mimba ikatokea so tukaona ni bora mwanae asiitwe wa kambo. Vinginevyo nyumba nzima ilikuwa ni wachaga full. Wadogo zangu wa kike watatu mmoja kakamata mchaga wa mwika, mwingine kakamata msukuma na wa tatu hopeful itakuwa chaga again wako katika final stages. Lord is God!! Tunaomba wachaga mtupe ardhi full tujenge.

asante sana waambie mkuu watu wamezid kila siku kuwa wachaga ni wavivu cijui tatizo ni nini
be blessed
 
Kuna makabila jamani yako kama wale mawaziri mizigo wa CCM, yaani wanaume kwa wanawake kitandani goigoi.
Unakuta mwanamke mweupe, sura nzuriiii, miguuu myembamba kama ya mbu wa dengue, kitandani hana mashamu shamu yoyote zaidi ya kusema YETHU NA MARIA, YAANI HATA MATHAWE HAFANYAGI HIII.
Jamani mwenzenu huwa nakereka sana.
Pia kuna wale wababe, unakuta wakati wa kumuandaa anakuuliza, UNANIRAMBARAMBA NINI, KWANI MI NDAMA? HEBU INGIZA NIKARIME.
yaani kuna umuhimu wa kuthamini tendo la ndoa jamani na mjitoe akili na nafsi zenu kwa ajili ya tendo hili, msione aibu kujifunza kwa kuuliza na kusoma maandiko mbalimbali.

Acha Umalaya, unajua maana ya tendo la ndoa!?
 
hivi ugoigoi ni kabila kumbe

I don't thinks so,kujituma au ugoi ni mtu mwenyewe,no mausiano na kabila.
Wanawake wengi huonekana goi goi kunako six by six,sio kwamba hawawezi ku shake hapana,sababu hasa huwa ni kuzidiwa utamu,hadi anaona akitikisika kidogoo tu ataupoteza Huo utamu.
That's why majority huwa hawapendi kugeuzwa geuzwa as if mnacheza mieleka,kwa mwanaume wajanja huwa hatu run the show,muachie bibie ndie a run the show,akitaka mbuzi kagoma twende, akitaka kifo cha mbu twende.
Mwanaume mjanja ni Yule anaejitaidi amfikishe mwenza wake kilekeni Mara nyingi iwezekanavyo,sio yule anae mgeuza mgeuza mama/ binti Wa watu kila dakika eti aonekane anajua style nyingi.
 
Wanaojifanya wanajua sana mapenzi hawana kitu kichwani, tena kiuchumi wapo chini vile vile!!??
 
Si useme tu umelenga wachaga sasa mama?? Sasa nikuambie kuwa wachaga wa leo si wale uliokuwa unawafikiria!!! Na mchaga wa leo akikukamatia mumeo humpati tena ninakuambia kwa sababu kwanza mapenzi wameshayajua sana, ni wachapakazi, ni wapishi wazuri nyumbani, ni watunzaji wa familia vizuri hasa malezi kwa watoto, si tegemezi nikimaanisha kuwa wanajishughulisa nivyo hela ndogondogo za matumizi yao haziwapigi chenga!!! Sasa nioe mtaalam wa kitandani huku kila siku ananipiga mizinga ni ya nini!!! Mchaga kitu eti kila upande wako poa sana!!! Ukioa mchaga jua familia yako imetulia tuli hata homework za watoto wanafuatilia na vikao vya shule yaani acha kabisa!! Mahusiano mazuri ni zaidi ya kukatika mauno kitandani!!! Wanaume tunataka mama wa watoto tofauti na fundi kitandani!!!!

Nakuunga mkono 100% mkuu!!??
 
hivi wewe mleta mada wachaga tu ndo magoi goi kitandani usinifanye niende mbali nikataka tufanye practical afu ulete mrejesho hapo acha kabisa

Uwiiiiiii !!!!! Umenichekesha unampa fisi adhabu ya kutafuna mnofu wakati kazoea kutafuna mifupa...!!!
 
Nani kakwambia wachaga hawajui mapenzi wewee acha story zako za kukaririshwa ingekuwa vizur kama ungetaja kabila lako tuanze kulichambua mtu ambae mda wote anawaza ngono hawez kuishi na mtoto wa kichaga mapenzi na maendeleo pia upoo!
 
Back
Top Bottom