The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
hivi hadi karne hii watu mna'link kabila na ubunifu kitandani????? maana kuna mtu ni mchagga lakini amekulia kwa wazaramo and vice versa..... hayo ni mambo ya mtu binafsi na utashi wake
Kwani ni marufuku kwa karne hii ku-link makabila? hivi kwa akili yako unadhani hilo haliwezekani? hebu nitafutie mjaruo mweupe tena baba na mama wote wawe wajaruo, au unitafutie mbullu mweusi naye awe wa baba na mama, huo ni mfano tu wa tofauti ya nje bado ya ndani.