Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,230
- 1,199
Naunga mkono hoja
Hilo nalo nenoooooWengine wamekataliwa hasira waja kumalizia humu na kuponda vigezo hawana wala quality
Pia mwanaume kutokuwa na kifua ni ujinga walahHilo nalo nenooooo
kumbuka wimbo wa prof.J..BONGO DSMWengine wamekataliwa hasira waja kumalizia humu na kuponda vigezo hawana wala quality
Hahaaaa ni shida mengine unamezea tukumbuka wimbo wa prof.J..BONGO DSM
Hahahaha, nafurahi maoni ya wadau Mkuu,kumbe wamekula vibuti ?Usicheke hii JF kukataliwa kubaya sana oooh
Hahahaha, itasaidia wengine sio ?Yah mkuu anatakiwa afunguke ili tupate darasa
Yani JF ukiona watu walikutana pm wakazoeana then wanakuja kuanika humu ujue wameshindwana sasa hasira huja kwa kulipiza kisasi cha kuzalilisha, huo sasa ndo uzwazwa wenyewe.Hahahaha, nafurahi maoni ya wadau Mkuu,kumbe wamekula vibuti ?
mbona wenzao tunapata mademu viwango safi kabisa mtandaoni? au huyu mwenzetu hatujaelewa mitandao gani anayoitumia...Hahaaaa ni shida mengine unamezea tu
Hilo nalo nenooooo
Post hz zimeelewekaPia mwanaume kutokuwa na kifua ni ujinga walah
Alipenda kupitiliza bila kujua suraKimekutokea nini mkuu, ila wewe una tatizo utampendaje mtu kwa avator, sijui picha, au comments, ujue huo ulikuwa upendo fake ila ungependa moyoni wala usingeona shida, mi ndo maana hushangaa mtu ansyevutiwa na mtu kisa picha kah BY the way wa mtaani na JF ndo hao hao. Jifunze kupenda mtu bila kuweka hisia
Hahaha ujue ipo hivi mtu anajikoki kuonana na mrembo, ila mrembo yeye mawazo yake nikuongeza idadi yamarafiki nakufahamiana nawatu tofauti tofauti, ila jamaa lengo nikutongoza nakupata papuchi ila mwisho wasiku anakutana nazauso Hahahahaha anaamua kuja kuwashusha thamani wanawake wahumu mara wabaya mara oooooo sio smartPia mwanaume kutokuwa na kifua ni ujinga walah
Umeandika point muhimu sana hata mtaani huwa haiwi rahisi.kihvivoElimu ya kutafuta marafiki mitandaoni inabidi itolewe. Hivi unaanzaje ku-fall kwa avatar/fake picture ya mtu?
Online dating inahitaji utulivu, umakini, taratibu, sio papara, urafiki kwanza then mahusiano baadae sana. Mtu anawaza kukutana na mdada na kumla siku hiyo hiyo, kwa nini usiwaze kukutana na stranger ambaye aweza kuwa rafiki tu? Then from there you start ado-ado.
Mitandao ni mizuri tu kuna watu wa kila sampuli pia unaweza kufanya urafiki kwanza sasa ukiwaza kingono ngono hii sio site ya machangumbona wenzao tunapata mademu viwango safi kabisa mtandaoni? au huyu mwenzetu hatujaelewa mitandao gani anayoitumia...
Hahahaha, asee kweli huo uzwazwa,ndio maana huwa nacheka sana Uzi km hzYani JF ukiona watu walikutana pm wakazoeana then wanakuja kuanika humu ujue wameshindwana sasa hasira huja kwa kulipiza kisasi cha kuzalilisha, huo sasa ndo uzwazwa wenyewe.
Expectation always hurt aiseeAlipenda kupitiliza bila kujua sura