mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Hivi wewe mtu upo?
polee mkuu
polee mkuu
Nipoo we mtu...Hivi wewe mtu upo?
AAA wapi mi naweka avator inayonivutia sio mtu mwingine mwenye matamanio yake kwanza Mimi humu had nikutane na mtu sijui iweje nimekutana na wachache na hawana utoto wa kuanzisha mada za hovyo we are normal friends. So avator ni minor issue mi cjali sura sina uwezo wakuumba hata kucha as long as we can be good friends no problem. Napenda roho ya MTUHahahahaha cariha ila me ushauri wangu muwe mnaweka avator ambazo zinaendana nanyinyi bac ili siku tukikutana mshtuko wetu usiwe mkubwa hii si kwawanawake tu bali hata kwavidume, mwanaume unasura kama wasira alafu unaweka evator ya chriss brown
Nipoo we mtu...
ni kweli kwasababu hana competitionTena wenye sura ngumu huwa wana papuchi nzuri sana


. Wanaume tumeumbwa matesoHabari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.








yame kukuta mtoto wa kiumeHahahahaHahahahaha cariha ila me ushauri wangu muwe mnaweka avator ambazo zinaendana nanyinyi bac ili siku tukikutana mshtuko wetu usiwe mkubwa hii si kwawanawake tu bali hata kwavidume, mwanaume unasura kama wasira alafu unaweka evator ya chriss brown
cariha yaani haya majibu yako ndio naanza sasa kukuimage wewe upoje yaani nakuona upo good kinoma yaani unaonesha najinsi gani huna majivuno ila sasa mwisho wasiku nikikusogerea nakutana namtu tofauti kabisa, ila kama nikweli ndio maisha yako halisi bwana awe nawe!!AAA wapi mi naweka avator inayonivutia sio mtu mwingine mwenye matamanio yake kwanza Mimi humu had nikutane na mtu sijui iweje nimekutana na wachache na hawana utoto wa kuanzisha mada za hovyo we are normal friends. So avator ni minor issue mi cjali sura sina uwezo wakuumba hata kucha as long as we can be good friends no problem. Napenda roho ya MTU
Bora utongoze fesibuku kuliko JF mkuu humu kuna mademu wanamzidi mizengo pinda













Hahahah ukiweka sura ya Wasira labda uwe mtu wa kabobo kama GuDume, vinginevyo hata likes hupati kabisa utajihisi mwenye gundu sana! Unafikiri kwa nini bwana Daby hawaishi kumshobokea, mambo ya avatar za kihensamu boi!Hahahahaha cariha ila me ushauri wangu muwe mnaweka avator ambazo zinaendana nanyinyi bac ili siku tukikutana mshtuko wetu usiwe mkubwa hii si kwawanawake tu bali hata kwavidume, mwanaume unasura kama wasira alafu unaweka evator ya chriss brown
Boss,umekutana na jini nn?Habari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
hahaaa,kumbe hakuna mfanano hata kidogo .pole mleta uzi siku nyingine usiweke imagination sana, utapata suprisesHaaa alitaka kuonana na hako hapo kwenye avatar
Hahahaha, aseeHahahah ukiweka sura ya Wasira labda uwe mtu wa kabobo kama Gudume, vinginevyo hata likes hupati kabisa utajihisi mwenye gundu sana!
Hahaha nihatar lakini nisalamaaa me naona ili jukwaa liendee kunoga tuendeleze mafekecho tu kila mtu anaelimu kuanzia degree, kila mtu anagari kila mtu alishapanda ndege, kila mtu anaishi new York city (makonda city)Hahahah ukiweka sura ya Wasira labda uwe mtu wa kabobo kama Gudume, vinginevyo hata likes hupati kabisa utajihisi mwenye gundu sana!
Mimi Niko kawaida mkuu na maisha yangu what I comments comes from my heart no fake zone mkuu sasa wewe ukinihisi hilo ni tatizo lako, wewe ukiniona wa tofauti mi hukutana na watu wa zima na wa heshima zao mkuu. So I entertain story za mvulanacariha yaani haya majibu yako ndio naanza sasa kukuimage wewe upoje yaani nakuona upo good kinoma yaani unaonesha najinsi gani huna majivuno ila sasa mwisho wasiku nikikusogerea nakutana namtu tofauti kabisa, ila kama nikweli ndio maisha yako halisi bwana awe nawe!!