Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Kwanza mim kma hujui kupika kazi sana.
Ndo hapo sawa na mtoa maada, utakuja fungua Uzi wa majuto

Sitaki tena wanawake wa jf wanaloweka,hawapiki,huku unajua akipitia huo uzi akirudi kwako,huyo wa kumpima akili
 
Hahahaha, sasa hapo jikaze kiume,mpe ofa km ni Dinner, lunch au kinywaji ,agana nae kiroho safi,

Unakua umekufa kijerumani na Tai yako shingoni,haina haja ya kuja kushambulia huku JF na missile
Sijui lkn ni mtazamo Wangu tu
Mawazo yako yako sahii na hii ni gentlemen anavyokua.

Ila tujiribuni kua wahalisia wa maisha yetu.

Unajua jinsi utakavyojionesha kwa mtu na ndivyo atakavyokufaham.

Sasa kma mbwembwe nyingi na hmna kitu unategemea nin? Na wengine inatokea kua hvyo kwasababu ya hasira.
 
Mawazo yako yako sahii na hii ni gentlemen anavyokua.

Ila tujiribuni kua wahalisia wa maisha yetu.

Unajua jinsi utakavyojionesha kwa mtu na ndivyo atakavyokufaham.

Sasa kma mbwembwe nyingi na hmna kitu unategemea nin? Na wengine inatokea kua hvyo kwasababu ya hasira.
Hahahaha, asee ndio maana ,Mara nyingi huwa nachekaga zikijaga Mada km hz
 
Hahahaaa. Kwa kuona nyuzi kama hizi nshayaona sana tu ila kiuhalisia bado aiseee.

Mie kila ninaekutana naye naona Allah kambariki yaani hawana cha kunifanya niwaone tofauti.
Hii inawezkna kwasababu jinsia zenu zinafanana na mara nyingi mnapokua wenyew kidogo mnaelewana.

Haya mara nyingi yanatokea kwa jinsia tofauti.
 
Habari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
Asifiaye mvua imemnyeshea
 
Hahahaaa. Sasa huwezi amini jinsia yangu ni wawili tu wengine wote walikuwa ni Me.
Nakuamini Mkuu.

Na ukweli ya hao uliokutana nao najua umepitia changamoto nyingi.

Bora niishie hapa au niendelee
 
Hahahaaa. Changamoto ziletwe na nini?

Labda niseme sijakutana na mtu kwa ajili ya hizo mambo za kutongozana zaidi ya kuheshimiana na kuwa marafiki wengine ndipo ni ndugu kabisaaa.
Nakubali hilo pia.

Ila inawezekna pia baina ya hao watu kuna kikwazo kilichokuepo ndio wasingeweza kufanya hvyo.

Na pia unaweza ukabahatika kukutana na wastaarabu kma mim ikawa poa
 
Back
Top Bottom