Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

....tubadilishane basi mkuu! Mi sina mamlaka nayo
Hahaha hiyo hainifai bana labda niambie unapenda nini au unatamani nini ili namimi niweke kama avator yangu ili tuwe tunatamanishana wote maana haiwezekani me niwe kila siku nakutamani wewe ila wewe hata wazo na avator yangu huna ukiiona hata ulowani bana
 
Haha haha huhuhuh
Jamani mwee hahahaha
Daaah!

Kwahiyo mkuu uliangalia avatar,sasa kama kwangu ukiona avatar za misosi unahic huyu huyu anaonekana anajua kupika

Kumbe hata wali napika boko,ugali mbichi kila siku,samaki naweka mchuzi mwingi mpaka wanafufuka wanaanza kuogelea kwenye mchuzi

Hahahah,acha nicheke tu
Pole mkuu.
 
Haha haha huhuhuh
Jamani mwee hahahaha
Daaah!

Kwahiyo mkuu uliangalia avatar,sasa kama kwangu ukiona avatar za misosi unahic huyu huyu anaonekana anajua kupika

Kumbe hata wali napika boko,ugali mbichi kila siku,samaki naweka mchuzi mwingi mpaka wanafufuka wanaanza kuogelea kwenye mchuzi

Hahahah,acha nicheke tu
Pole mkuu.
Kwanza hapo kwenye mapishi hhhhh kuna kazi kweli.
 
Habari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
nn tatzo jamn
 
Habari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
mimi natongoza bado mkuu,ila siku ya kukutana lazma nijifiche chobingo niangalie aina ya mtu anayekuja kama simuelewielewi natoa betri kwenye simu napotea hanioni tena,nimeshafanya hivyo kwa mafanikio zaidi ya mara 3
 
Haha haha huhuhuh
Jamani mwee hahahaha
Daaah!

Kwahiyo mkuu uliangalia avatar,sasa kama kwangu ukiona avatar za misosi unahic huyu huyu anaonekana anajua kupika

Kumbe hata wali napika boko,ugali mbichi kila siku,samaki naweka mchuzi mwingi mpaka wanafufuka wanaanza kuogelea kwenye mchuzi

Hahahah,acha nicheke tu
Pole mkuu.
Hahahhaahhaaaaaaa 😛😀😀😀😀
 
Habari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
Haya mzee kulikoni?
 
Ndo maana ukiwa na adabh huku unabishana kwa step. Sio mtu kakupa tusi na wewe unarudisha tusi siku mkijuana ni baba ako. Kuna wengine hizi fake Id na avatar zinawapa ujasiri wa kudharau yeyote yule.
Hahaha ila kweli aisee JF bana humu kuna watu wanatoleana mapovu mpaka nawazee wao mpaka kutongozana hivyo hivyo, naushauri hivyo hivyo unatoa ushauri kumbe unamshauri baba yako au mama yako mambo ya fake id hayo
 
Back
Top Bottom