Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Kabisa my dear.Oooh hapo sawa sasa....tunaita ' top priorities
Mim si unajua sinsoma kwao kengereza charudi na wenyew huko ulaya

Kabisa my dear.Oooh hapo sawa sasa....tunaita ' top priorities

Ahaaahaaa....acha hizo ' engineerKabisa my dear.
Mim si unajua sinsoma kwao kengereza charudi na wenyew huko ulaya![]()
![]()
![]()
Thank you.Ahaaahaaa....acha hizo ' engineer

Hahaha hiyo hainifai bana labda niambie unapenda nini au unatamani nini ili namimi niweke kama avator yangu ili tuwe tunatamanishana wote maana haiwezekani me niwe kila siku nakutamani wewe ila wewe hata wazo na avator yangu huna ukiiona hata ulowani bana![]()
![]()
....tubadilishane basi mkuu! Mi sina mamlaka nayo
Hahaha hiyo hainifai bana labda niambie unapenda nini au unatamani nini ili namimi niweke kama avator yangu ili tuwe tunatamanishana wote maana haiwezekani me niwe kila siku nakutamani wewe ila wewe hata wazo na avator yangu huna ukiiona hata ulowani bana

Kwanza hapo kwenye mapishi hhhhh kuna kazi kweli.Haha haha huhuhuh
Jamani mwee hahahaha
Daaah!
Kwahiyo mkuu uliangalia avatar,sasa kama kwangu ukiona avatar za misosi unahic huyu huyu anaonekana anajua kupika
Kumbe hata wali napika boko,ugali mbichi kila siku,samaki naweka mchuzi mwingi mpaka wanafufuka wanaanza kuogelea kwenye mchuzi
Hahahah,acha nicheke tu
Pole mkuu.
nn tatzo jamnHabari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
Hi Kasiee,
Miss you....
Hahahaha, ondoa shaka Mkuu Hajar atakua ktk mikono yangu salama kabisa ,nawe pia unakaribishwa siku hy km hutojaliHahahaaaaa. Nimejikuta nakuelewa tu Sesten nitafanya hivyo.
Ila pia nimecheka hivi mie na gym wapi na wapi jamaani.![]()
Hahahaha, mtani hujachelewa ,uzuri wanasemaga muda wote ni muda wa cafe ,ukizingatia ofc zetu hz ubaridi mwingiMie niko salama kabisa.
Duuh. Nshachelewa tayari Mtani au haijakwisha?

mimi natongoza bado mkuu,ila siku ya kukutana lazma nijifiche chobingo niangalie aina ya mtu anayekuja kama simuelewielewi natoa betri kwenye simu napotea hanioni tena,nimeshafanya hivyo kwa mafanikio zaidi ya mara 3Habari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
Hahahhaahhaaaaaaa 😛😀😀😀😀Haha haha huhuhuh
Jamani mwee hahahaha
Daaah!
Kwahiyo mkuu uliangalia avatar,sasa kama kwangu ukiona avatar za misosi unahic huyu huyu anaonekana anajua kupika
Kumbe hata wali napika boko,ugali mbichi kila siku,samaki naweka mchuzi mwingi mpaka wanafufuka wanaanza kuogelea kwenye mchuzi
Hahahah,acha nicheke tu
Pole mkuu.
Akiona hyo miguu hapo lazima aje pm...Usirudie tena kupenda avatar mkuu.
Miguu siyo sura mkuu 😛😛😛😀😀Akiona hyo miguu hapo lazima aje pm...
Wengine miguu ndio ugonjwa wetu na tumeiwekea session yake kabisa..sura kitu gani bana,Miguu siyo sura mkuu 😛😛😛😀😀
Haya mzee kulikoni?Habari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
Hahaha ila kweli aisee JF bana humu kuna watu wanatoleana mapovu mpaka nawazee wao mpaka kutongozana hivyo hivyo, naushauri hivyo hivyo unatoa ushauri kumbe unamshauri baba yako au mama yako mambo ya fake id hayo