Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Ndo maana ukiwa na adabh huku unabishana kwa step. Sio mtu kakupa tusi na wewe unarudisha tusi siku mkijuana ni ********. Kuna wengine hizi fake Id na avatar zinawapa ujasiri wa kudharau yeyote yule.
Hahahaha, ila dharau tu sio nzuri kwa yoyote yule,uwe unamjua au humjui ,km mlionana na hkn aliyemvutia mwenzie ,si mna uchuna tu kimya kimya,maisha yanaenda, haina haja ya kudharauliana
 
Ndo maana ukiwa na adabh huku unabishana kwa step. Sio mtu kakupa tusi na wewe unarudisha tusi siku mkijuana ni ********. Kuna wengine hizi fake Id na avatar zinawapa ujasiri wa kudharau yeyote yule.
Kweli kabisa maana uwezi jua unayemtolea povu ninani kwako yawezekana hata baba mchungaji wako uliyetoka kwake mda sio mrefu kumpigia magoti akuombee msamaha kwammeo/mkeo
 
mimi natongoza bado mkuu,ila siku ya kukutana lazma nijifiche chobingo niangalie aina ya mtu anayekuja kama simuelewielewi natoa betri kwenye simu napotea hanioni tena,nimeshafanya hivyo kwa mafanikio zaidi ya mara 3
Msemakweli mpenzi wa Mungu

Nimekumbuka huu usemi,baada ya kuona id yako
 
Hahahaha, ila dharau tu sio nzuri kwa yoyote yule,uwe unamjua au humjui ,km mlionana na hkn aliyemvutia mwenzie ,si mna uchuna tu kimya kimya,maisha yanaenda, haina haja ya kudharauliana
Hahaha nihatar lakini nisalamaaa niuzwazwa kukaa nakufikiria kuwa watu waliomo JF sio hao tulionao kitaa
 
Hahahaha, huwa naonaga humu watu wanajibu MTU kwa dharau na mbwembwe,hakujui wala humjui, mby wengine chini chini lkn wako vzr ktk mipango yao ,tutashindwa kupeana line kwa hz dharau
Kabisa mkuu
 
hahaha wewe nini mbona km unatoa mapovu sana nimesoma msg zako zaidi ya 10 zote zipo chembe chembe ya povu na hasira by the way mtoa mada akome
Basi msilalamike unataka kizuri umba chako au unaenda kwa madanguro ila humu JF mtaishia kulalamika maana hili ni jukwaa la watu na sio sehemu ya kutafta ma miss world
 
Hahahaha, ila dharau tu sio nzuri kwa yoyote yule,uwe unamjua au humjui ,km mlionana na hkn aliyemvutia mwenzie ,si mna uchuna tu kimya kimya,maisha yanaenda, haina haja ya kudharauliana
Inachekesha sana mkuu unastruggle na dem mzee unapelkwa mchaka mchaka unatumia juhudi zako zote.

Anaingia kingi unarekebisha mambo yanaingiana.

Kuna ule msemo unaitwa subira yavuta kheri au mchumia juani hula kivulini.

Sasa mnapanga kuonana ukitaraji bidii yako leo inafanikiwa mzee unachoenda kukikuta unakemea mapepo kwanza unajilaani mpka miguu yako.
 
Inachekesha sana mkuu unastruggle na dem mzee unapelkwa mchaka mchaka unatumia juhudi zako zote.

Anaingia kingi unarekebisha mambo yanaingiana.

Kuna ule msemo unaitwa subira yavuta kheri au mchumia juani hula kivulini.

Sasa mnapanga kuonana ukitaraji bidii yako leo inafanikiwa mzee unachoenda kukikuta unakemea mapepo kwanza unajilaani mpka miguu yako.
Hahahaha, sasa hapo jikaze kiume,mpe ofa km ni Dinner, lunch au kinywaji ,agana nae kiroho safi,

Unakua umekufa kijerumani na Tai yako shingoni,haina haja ya kuja kushambulia huku JF na missile
Sijui lkn ni mtazamo Wangu tu
 
Kwanza mim kma hujui kupika kazi sana.
Ndo hapo sawa na mtoa maada, utakuja fungua Uzi wa majuto

Sitaki tena wanawake wa jf wanaloweka,hawapiki,huku unajua akipitia huo uzi akirudi kwako,huyo wa kumpima akili
 
Back
Top Bottom