Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Hahahahaha cariha ila me ushauri wangu muwe mnaweka avator ambazo zinaendana nanyinyi bac ili siku tukikutana mshtuko wetu usiwe mkubwa hii si kwawanawake tu bali hata kwavidume, mwanaume unasura kama wasira alafu unaweka evator ya chriss brown
Tuanze na wewe sasa kwenye hiyo avator kabla ya kwenda kwa mwingine ili ushauri wako ufanyiwe kazi vizuri
 
...best ake inaonekana kuna kitu kinakukereketa kwenye koo teh teh!
Unafkiri sometimes hukaa nikacheka sana na haya mambo.

Nnapokua kma hapa na nikaona thread kma hzi hua napata pa kuongea ni mambo tunakumbana nayo katika maisha yetu ya kila siku.

Unachotaka naona niongee tuu .
 
Unafkiri sometimes hukaa nikacheka sana na haya mambo.

Nnapokua kma hapa na nikaona thread kma hzi hua napata pa kuongea ni mambo tunakumbana nayo katika maisha yetu ya kila siku.

Unachotaka naona niongee tuu .
Haahaaaahaaa...eti nataka uongee

Ila na nyie vidume mvuto upo au mnaangalia filter za hips na mitumbo yetu?
 
Inashawishi eeh? Eti eeeh
Inashawishi tena sana, level zake nihotel zanyota ndio ile najikoki natafuta hotel nzuri chaajabu unatokeza mtu tofauti yaani ufanani na avator yako hata robo yake mara pap ninakufa kabisa
 
Inashawishi tena sana, level zake nihotel zanyota ndio ile najikoki natafuta hotel nzuri chaajabu unatokeza mtu tofauti yaani ufanani na avator yako hata robo yake mara pap ninakufa kabisa
Mara nakuzika kabisa ....kutongoza avatar na miandiko mwaja kutana na majini ohooo!
 
Hahaaaa makubwa haya hivi unavutiwaje na avator ya mtu eti ndo upendo kah kwani mtu akiwa na hyo sura kajiumba yeye si ndo alivozaliwa you can't change it umba wa kwako mzuri, mi ndo mana hushangaa watu humu anataka akuone sura na picha ili iweje. JF ni mtandao mzuri ukiutumia positive wengine tumekutana na watu humu twaheshimiana no utoto sijui sura, status tumekuwa wote Mengi.

Picha ni lazima mtu aione, usije kuwa unamtongoza ndugu yako.
 
Back
Top Bottom