Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,421
- 7,877
Sasa rafiki mi naomba nafasi moja ya upendeleo, kama ikiwa ngumu kabisa, nipe ile kubwa kabisaaaHahahaaa. Ndio lakini wengi walirudi nyuma sababu sikuwa na nafasi ya kuwaweka.





Sasa rafiki mi naomba nafasi moja ya upendeleo, kama ikiwa ngumu kabisa, nipe ile kubwa kabisaaaHahahaaa. Ndio lakini wengi walirudi nyuma sababu sikuwa na nafasi ya kuwaweka.





Hahahaaaa. Ndioo.Hahahhaaaa, kwa hiyo watongozaji wote walichelewa eeh!!![]()
Hahahaaaa. Kunibana kote hili ndio hitimisho. Teh teh teh.Sasa rafiki mi naomba nafasi moja ya upendeleo, kama ikiwa ngumu kabisa, nipe ile kubwa kabisaaa![]()
Sasa wewe umesema hujapata changamoto nkajua hata hutongozwi eti, nimekuelewa rafikiNaona hujanielewa hata rafiki. Kwani niulize ukitongozwa ni lazima kumkubalia mtu?
Hahahaaaa. Kunibana kote hili ndio hitimisho. Teh teh teh.
Umechelewa rafiki. Tuchekage tu mwisho wa siku wote tunashika hamsini zetu.![]()

Ujue popote pale waweza kutana na yeyote kwa chochote, so sio mbaya wakati mwingine.Hahahaaaa. Ndioo.
Wadada nyie na hii misimamo mnatutishagaHahahaaaa. Ndioo.


Sasa mi nimeona wenzangu wadhembe, nkasema ngoja niwahi seatHahahaaaa. Kunibana kote hili ndio hitimisho. Teh teh teh.
Umechelewa rafiki. Tuchekage tu mwisho wa siku wote tunashika hamsini zetu.![]()





Mkuu umesahau pichaHabari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
Hahahaaa. Nadhani neno Changamoto limekuwa pana mie nilidhani yaani baada ya kuonana nao ndio changamoto zikawepo kwamba labda zile za kuigiza maisha. Teh tehSasa wewe umesema hujapata changamoto nkajua hata hutongozwi eti, nimekuelewa rafiki
Ahsante.Hahahaaa. Nadhani neno Changamoto limekuwa pana mie nilidhani yaani baada ya kuonana nao ndio changamoto zikawepo kwamba labda zile za kuigiza maisha. Teh teh
Ila hizi za kutongozwa haziepukiki rafiki.
Hahahaaa. Hakuna mzembe hata mmoja rafiki.Sasa mi nimeona wenzangu wadhembe, nkasema ngoja niwahi seat
Poa rafiki usijali pamoja sanaaa
Hahahaaa. Hakuna mzembe hata mmoja rafiki.
Usijali bana wanaume tunawajua mambo zenu hivyo tunajitahidi kadri ya uwezo kuweza kwenda na nyie sawa pasi kupotea maana mnapotezaga nyieee.![]()







😂😂😂😂😂😂😂 shida ndio hizo maneno za kufanya mpaka mtu aingie kilaini. 😂😂😂😂😂😂Wadada nyie na hii misimamo mnatutishaga
Ila kuna mda mnaingia kiulainiiiiiii cjui shda nn
Hahahaaaa. Hujaelewa kupoteza yangu rafiki banaaa. Sijui kwa nini tunatofautiana kuelewa. 😂😂😂😂😂😂
Sema tunapotezana bwana,
Mfano wee na avatar yako unawapoteza wengi wakija kukuona live afu hufanani nayo nao wanakupoteza, inakua ngoma droo
Hahahaha, nimependa maongezi yenu,nimejifunza kitu mtani ,endeleeni
Hata sitaki. Hiyo kujifunza yako pasi kutushirikisha napata shaka nayo.Hahahaha, nimependa maongezi yenu,nimejifunza kitu mtani ,endeleeni