Majonzi kwa chuo kikuu cha sokoine morogoro....!!

Majonzi kwa chuo kikuu cha sokoine morogoro....!!

Canop

Senior Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
175
Reaction score
28
Tumeondokewa na mhandisi mtarajiwa wa mwaka wa pili (Thobias Paul) jana usiku ktk hospitali ya mkoa wa morogoro na mwili wake kusafirishwa leo kwenda Arusha kwa mazishi baada ya kuagwa na wanafunzi, utawala na wafanyakazi wote wa SUA siku ya leo jioni.
tulimpenda sana ila shukrani ni kwa muumba wetu ambaye amempenda zaidi.
 
Dah! Inauma sana Rafiki Yangu Thobias ulale mahali pema peponi!
Nakumbuka sana tulivyoishi wote Ilboru na kushirikiana kwenye masuala ya UKWATA!
Nakumbuka sana tulivyokuwa tunaenda kwenye Maombi kila saa nne usiku na kila asubuhi Nyuma ya lecture Hall.
Naikumbuka sana A.K.A yako "Top T wa hisabati".
I can remember mwisho tumewasiliana Christmass ukaniambia hautaweza kwenda Arusha kwa kuwa likizo ni fupi Mno! Nikakuomba uniandikie meseji ya Christmass kwa lugha ya kimasai! And I sent it to my Girlfriend!
Jana napata taarifa umeondoka kwa kuumwa Malaria!
I will always Remember u bro!
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA!
Jina lake lihimidiwe!
 
poleni wafiwa na mwenyezi Mungu amuweke mahali pema peponi, amina!
 
Dah! Inauma sana Rafiki Yangu Thobias ulale mahali pema peponi!
Nakumbuka sana tulivyoishi wote Ilboru na kushirikiana kwenye masuala ya UKWATA!
Nakumbuka sana tulivyokuwa tunaenda kwenye Maombi kila saa nne usiku na kila asubuhi Nyuma ya lecture Hall.
Naikumbuka sana A.K.A yako "Top T wa hisabati".
I can remember mwisho tumewasiliana Christmass ukaniambia hautaweza kwenda Arusha kwa kuwa likizo ni fupi Mno! Nikakuomba uniandikie meseji ya Christmass kwa lugha ya kimasai! And I sent it to my Girlfriend!
Jana napata taarifa umeondoka kwa kuumwa Malaria!
I will always Remember u bro!
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA!
Jina lake lihimidiwe!

Inasikitisha sana kumbe alikuwa ilborian(Mmenye),Apepe.
 
Dah! Inauma sana Rafiki Yangu Thobias ulale mahali pema peponi!
Nakumbuka sana tulivyoishi wote Ilboru na kushirikiana kwenye masuala ya UKWATA!
Nakumbuka sana tulivyokuwa tunaenda kwenye Maombi kila saa nne usiku na kila asubuhi Nyuma ya lecture Hall.
Naikumbuka sana A.K.A yako "Top T wa hisabati".
I can remember mwisho tumewasiliana Christmass ukaniambia hautaweza kwenda Arusha kwa kuwa likizo ni fupi Mno! Nikakuomba uniandikie meseji ya Christmass kwa lugha ya kimasai! And I sent it to my Girlfriend!
Jana napata taarifa umeondoka kwa kuumwa Malaria!
I will always Remember u bro!
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA!
Jina lake lihimidiwe!

Pole sana ndugu. Jipe moyo mkuu. Uwe na faraja ya Roho Mtakatifu
 
Poleni wafiwa wote. Bwana ametoa bwana ametwaa. Rip brother
 
Inna Lilah waina ilaih rajiuuun...... bila shaka ni ule msiba wa pale mbele ya msikiti wa mahita
 
Back
Top Bottom