King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,433
- 88,786
Kumbe dogo nawe ni Mmenye...
Aisee huu ni msiba wa tatu sasa nausikia wa ex-ilborian ndani ya miezi miwili...halafu wote ni vijana wadogo ambao hawajafikisha hata miaka 30....
Hatari sana
Wengine kina nani mmenye?