Majonzi kwa chuo kikuu cha sokoine morogoro....!!

Majonzi kwa chuo kikuu cha sokoine morogoro....!!

Poleni sana mlioguswa na msiba huu kwa namna moja ama nyingine...
 
Innalilahi wa Innaillahi Rajiuun


Chanzo cha kifo please...

Alikuwa anaumwa kwa takribani wiki kama 2 hivi, na jana hali yake ilikuwa mbaya ndipo akakimbizwa hospital ya mkoa moro ambako mauti yamemfika.
 
Tumeondokewa na mhandisi mtarajiwa wa mwaka wa pili (Thobias Paul) jana usiku ktk hospitali ya mkoa wa morogoro na mwili wake kusafirishwa leo kwenda Arusha kwa mazishi baada ya kuagwa na wanafunzi, utawala na wafanyakazi wote wa SUA siku ya leo jioni.
tulimpenda sana ila shukrani ni kwa muumba wetu ambaye amempenda zaidi.
Kila nafsi itaonja mauti,mungu amuweke mahali.pema peponi,ameen,poleni.sn.wana SUA
 
Dah! Inauma sana Rafiki Yangu Thobias ulale mahali pema peponi!
Nakumbuka sana tulivyoishi wote Ilboru

Kumbe dogo nawe ni Mmenye...

Aisee huu ni msiba wa tatu sasa nausikia wa ex-ilborian ndani ya miezi miwili...halafu wote ni vijana wadogo ambao hawajafikisha hata miaka 30....

Hatari sana
 
Dah! Inauma sana Rafiki Yangu Thobias ulale mahali pema peponi!
Nakumbuka sana tulivyoishi wote Ilboru na kushirikiana kwenye masuala ya UKWATA!
Nakumbuka sana tulivyokuwa tunaenda kwenye Maombi kila saa nne usiku na kila asubuhi Nyuma ya lecture Hall.
Naikumbuka sana A.K.A yako "Top T wa hisabati".
I can remember mwisho tumewasiliana Christmass ukaniambia hautaweza kwenda Arusha kwa kuwa likizo ni fupi Mno! Nikakuomba uniandikie meseji ya Christmass kwa lugha ya kimasai! And I sent it to my Girlfriend!
Jana napata taarifa umeondoka kwa kuumwa Malaria!
I will always Remember u bro!
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA!
Jina lake lihimidiwe!

Pole sana Tangopori kwa kuondokewa na best ako...!
 
Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho wapate kupumzika baada ya taabu: kwa kuwa matendo yao yafuatana nao, Ufu 14:13
 
Back
Top Bottom