Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,403
Msingi wa mada hii ni wanawake ambao wamependwa na 'kuolewa' na majini. Hawa wana bahati mbaya sana kwa kuwa hawaoleki na binadamu
Kwenye ukoo mzima wa majini kuna mazuri na mabaya na kuna haya yanayopenda kufanya mapenzi na binadamu wa kike. Hawa ni tatizo sana
Unapozungumzia wivu wa kiumberoho jini, huwezi kuacha kuzungumzia wivu wa mnyama nyegere, huyu anawakilisha kipimo cha wivu kwenye ulimwengu unaoonekana. Nyegere ana uwezo wa kumfuata mbaya wake hata kilometer 100 kwenda kumdhuru via vya uzazi akikuhisi vibaya na mpenzi wake na pengine pia ana uhusiano na neno nyege.
Ukiachana na jini na nyegere viumbe wenye wivu uliopitiliza kuna kicheche, huyu hana wivu ila kiwango chake cha tamaa ya ngono kiko juu kuliko kiumbe mwingine yeyote. Kicheche ana uwezo wa kufanya ngono mara 18 kwa siku na ndio asili ya binadamu wapenda ngono kuitwa vicheche
Turejee kwenye mada
Kiumbe roho jini hapendi kushare mapenzi na binadamu. Ana wivu mbaya sana hivyo mwanamke anayeshiriki ngono na jini hawezi kupata mpenzi binadamu au kuzaa mtoto
Akipata mpenzi binadamu wataishia kugombana na ikitokea kazaa mtoto atakufa kwa bahati mbaya sana kwakuwa wana hisia kama binadamu wengine wote hili jambo huwaumiza na kuwafadhaisha sana lakini HALINA TIBA, tiba pekee ni jini kuamua kuondoka mwenyewe yaani kutaliki
Na hata jini akiondoka mwanamke huchukua muda mrefu kupata mpenzi wa kutulia naye kutokana na kukosa aina ya mapenzi aliyokuwa anayapata kutoka kwa jini.
Hivyo ndugu yangu kama una mpenzi wa jinsi hii hakuna tiba itakayomfaa zaidi ya kutuliza tu kama asprini
Kwenye ukoo mzima wa majini kuna mazuri na mabaya na kuna haya yanayopenda kufanya mapenzi na binadamu wa kike. Hawa ni tatizo sana
Unapozungumzia wivu wa kiumberoho jini, huwezi kuacha kuzungumzia wivu wa mnyama nyegere, huyu anawakilisha kipimo cha wivu kwenye ulimwengu unaoonekana. Nyegere ana uwezo wa kumfuata mbaya wake hata kilometer 100 kwenda kumdhuru via vya uzazi akikuhisi vibaya na mpenzi wake na pengine pia ana uhusiano na neno nyege.
Ukiachana na jini na nyegere viumbe wenye wivu uliopitiliza kuna kicheche, huyu hana wivu ila kiwango chake cha tamaa ya ngono kiko juu kuliko kiumbe mwingine yeyote. Kicheche ana uwezo wa kufanya ngono mara 18 kwa siku na ndio asili ya binadamu wapenda ngono kuitwa vicheche
Turejee kwenye mada
Kiumbe roho jini hapendi kushare mapenzi na binadamu. Ana wivu mbaya sana hivyo mwanamke anayeshiriki ngono na jini hawezi kupata mpenzi binadamu au kuzaa mtoto
Akipata mpenzi binadamu wataishia kugombana na ikitokea kazaa mtoto atakufa kwa bahati mbaya sana kwakuwa wana hisia kama binadamu wengine wote hili jambo huwaumiza na kuwafadhaisha sana lakini HALINA TIBA, tiba pekee ni jini kuamua kuondoka mwenyewe yaani kutaliki
Na hata jini akiondoka mwanamke huchukua muda mrefu kupata mpenzi wa kutulia naye kutokana na kukosa aina ya mapenzi aliyokuwa anayapata kutoka kwa jini.
Hivyo ndugu yangu kama una mpenzi wa jinsi hii hakuna tiba itakayomfaa zaidi ya kutuliza tu kama asprini