godoro-la-comfy
Member
- Sep 9, 2013
- 52
- 28
Kwa kua viongoz wa nchi wanaogopa kuwataja wahusika wanaojihusisha na uuzaji wa madawa ya kulevya...Nachukua fursa hii kwa ujasili mkubwa na tena nikiwa na uhakika wa asilimia mia kuwataja wahusika ambao wamo katika folamu hii ya jamii.
1. Mamdenyi
Huyu anamiliki majumba ya anasa. Ana rosheni pale kariakoo kama 4 ivi na anadalala zinazopiga ruti Mwenge posta zaidi ya 30.
2.Lara1
Huyu kijana mdogo kabisa lakini machachari. Mara nyingi amekua akiongozana na Riz1. Anapenda kutembelea gari aina ya vogue nyekundu na pia ndiye mwenye jengo jipya kama unaelekea posta limeandikwa VIVA..maeneo ya redcross. Mara nyingi amekua akifanya matanusi zanzibar na kusafiri mara kwa mara nje ya nchi. Ana vitega uchumi vingi sana hapa mjini na ana share 80% ya vodacom.
3. Heaven on earth
Huyu richa ya umaarufu alionao.anamiliki ukqasi mrefu sana. Mara ya mwisho alijitangaza anapesa zinazozidi bilion 90 kwenye account yake. Anapenda sana kuhudhuria kwenye bendi za taarabu hasa ya mashauzi claasic ambapo huwatunza kwa hela nyingi sana. Ndiye mmiliki wa bajaji zote za mwenye na ile stand ya makumbusho.
4. Watu8
Jamaa anapenda kubadilisha magari na wanawake kila saa. Ni mtoto wa kigogo. Mara ya mwisho alikamatwa South Africa na kuachiwa kimya kimya but ilisemekana alihonga tirion 2 za kibongo. Yeye ndio mtanzania mwenye gari la gharama kuliko wote hapa tz.
Wengine nitaendelea nao kesho...
Tanzania bila madawa inawezekana.
1. Mamdenyi
Huyu anamiliki majumba ya anasa. Ana rosheni pale kariakoo kama 4 ivi na anadalala zinazopiga ruti Mwenge posta zaidi ya 30.
2.Lara1
Huyu kijana mdogo kabisa lakini machachari. Mara nyingi amekua akiongozana na Riz1. Anapenda kutembelea gari aina ya vogue nyekundu na pia ndiye mwenye jengo jipya kama unaelekea posta limeandikwa VIVA..maeneo ya redcross. Mara nyingi amekua akifanya matanusi zanzibar na kusafiri mara kwa mara nje ya nchi. Ana vitega uchumi vingi sana hapa mjini na ana share 80% ya vodacom.
3. Heaven on earth
Huyu richa ya umaarufu alionao.anamiliki ukqasi mrefu sana. Mara ya mwisho alijitangaza anapesa zinazozidi bilion 90 kwenye account yake. Anapenda sana kuhudhuria kwenye bendi za taarabu hasa ya mashauzi claasic ambapo huwatunza kwa hela nyingi sana. Ndiye mmiliki wa bajaji zote za mwenye na ile stand ya makumbusho.
4. Watu8
Jamaa anapenda kubadilisha magari na wanawake kila saa. Ni mtoto wa kigogo. Mara ya mwisho alikamatwa South Africa na kuachiwa kimya kimya but ilisemekana alihonga tirion 2 za kibongo. Yeye ndio mtanzania mwenye gari la gharama kuliko wote hapa tz.
Wengine nitaendelea nao kesho...
Tanzania bila madawa inawezekana.