Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
i)SABODO
mkuu nasikia watakatifu wameiomba serikali isiweke wazi maana kondoo wa bwana wangekimbia kwenye masinagogi kwa kupoteza imani nao.
nitumieni hayo majina...!!!! kama kweli mko serious!
Kwa hiyo ndo kusema yameongezeka, yamekuwa majina 59 kwa sasa.Haisaidii kwa sasa maana hata Riz1 kaingia kwenye list
Riziwani kikwete naye ni miongoni mwao,alikamatwa china,alikamatwa na mzigo wa sh bil 4 bila Jk kufunga safari mtoto alikuwa anapoteza maisha.acha kwenda yy ilibidi atoe sehemu Tanzania yenye gesi kwa ajili ya wao kuja kufua,coz rahisi wa china aliuliza je nitafaidika na nn Tanzania.
unajua ule ukweli ulipoanikwa hapa JF, uliondolewa haraka haraka lkn ilikuwa too late watu tayaritushainyaka. Sio uwongo mkuu, hapa huwa hapatupiwi majungu.Viwanda vya kufua uongo