majina ya wapi haya?

majina ya wapi haya?

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,104
Elihuruma,
Elipokea,
Elinjaa,
Elichukua,
Eliahsante,
Elisioi,
Elirushwa,
Elitongozo,
Elisitaki,
Elinyamaza,
Elimgongo,
Elikamata,
 
Eli means God kwa mengi ya makabila ya mashariki,nadhani pia kwa lugha zingine....so ni pre-fix nzuri ya majina,hasa christians...kwa mfano Elineema means Mungu wa Neema,Elinipendo Mungu ni Upendo,,,
 
Elia G Kamwela
Eli ni baadhi pia ya member wa humu.
 
Wananifurahisha wale wa nyanda za juu kusini ambao majita yao yanaanzia na Mwa..... na mwisho wa maneno umkute jina linaanzia na Atu ,nishakutana na mmoja anaitwa Atufilefile na mdogo wake Atufigwegwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom