Majina ya waliopendekezwa kugombea EAC kutoka CCM

Amazing, naona jina la Fancy, huyu dada nyumba ndogo ya Njaa Kaya, dada alimaliza Tumaini University na kupewa cheo kinyemela cha kuongoza wilaya ya Manyoni baada ya kushindwa tu kapelekwa BOT hah hahh sasa naona mzee ameamua kumpigia chapuo apewe ubunge. this is ccm inside
 
Ubunge wa EALA ni nafasi TISA (9) kwa kila nchi mwanachama na katika nafasi hizo TISA (9) moja inakwenda kwa wapinzani.
Yaani mkuu una maana wapinzani hata wakiwa na mbunge mmoja kwenye bunge la nchi wanapewa nafasi moja na wakiwa na 49% ya wabunge kwenye bunge la nchi husika nafasi bado ni moja? Nilikuwa nadhani kuna uwiano fulani unaozingatiwa.

Hivi kazi kuu za EALA ni nini? Naona kama kajigenge tu ka kula kodi za wananchi.
 
- Jamani heshima yenu sana JF wote niliowakosea nawaomba radhi sana, tulianza na keyboard sasa ni wakati wa vitendo, kaazi!

AHSANTENI!

William.

HONGERA SANA William kwa kufanikiwa hii hatua za awali. Jipange vizuri sasa kwani hatua inayofuata ni ngumu zaidi. Usiache kushirikiana na JAMII hapa kwa mawazo mapya pamoja na ushauri. ALL the BEST
 
EL yuko powerful sana, hii kamati kuu
almost wote ni watu wa visasi. kama wako competent kulikuwa na sbb gani ya kutokumuweka hata mmoja kutoka kundi la lowasa. ufa ndo unazidi. If there is going 2 be a fair election in 2015 kwa CCM hii ya majungumajungu lazima CDM wachukue nchi.
 
Kwa hiyo nafasi 4 kwa wanawake na 4 kwa wanaume?
Nimesoma nimeona haijatamka waziwazi composition zaidi ya kusema ni 9 kwa.kuzingatia gender balance. Imeacha madaraka kwa mabunge ya nchi husika
 
Nimesoma nimeona haijatamka waziwazi composition zaidi ya kusema ni 9 kwa.kuzingatia gender balance. Imeacha madaraka kwa mabunge ya nchi husika

Maana nimeona pia kuna walipendekezwa kutoka Zanzibar. Kama haitabalance kijinsia, labda kimuungano?
 
Mndolwa ninayemfahamu ni very good accountant(ACCA,MBA,PHD) lakini haya mambo ya EA na siasa zake naah bro!! Yule msaliti wa upinzani nafuu kidogo!
 
simon Berege alikuwa rais wa serikali ya wanafunzi tumaini iringa 2006/07 akimpokea Millya ndo alikuwa rais wa kwanza kutoka journalism kutawala dah kumbe na mimi nisingejitoa CCM ningekuwa mbali by now eeeh yeye pamoja na kina Millya ndo tulianzisha tawi la UV CCM chuoni kipindi hicho
 
Maana nimeona pia kuna walipendekezwa kutoka Zanzibar. Kama haitabalance kijinsia, labda kimuungano?
Mkuu kwa Tanzania lazima ibalance kimuungano na kijinsia! Tuna shida ya kubalance mambo kapokuwa wenyewe hatujabalance!
 
Hongera sana mwana jamvi William. Nakupa baraka zangu zote. Jipange kiukweli sasa....
 
Nape, naamini mchakato huu umehusisha wataalamu wa Wizara ya eac ili watoe general overview ya sifa za mtu atakayeisaidia Tanzania, la ikiwa sifa iliyotumika ni ile ya 'huyu mwenzetu' bac tz imeliwa. Kule si pahala pa kujifunza hata kidogo, wala siyo pa 'final option' kwa hiyo plz msipeleke 'la saba' wala 'wachanga' kwenye issues, sidhani kama kuna kupiga meza kule. Japokuwa tunabeba box lakini mapori yetu yapo huko na naskia hao jamaa ajenda yao kubwa ni mapori ya babu zetu, msitupelekee wauza mapori huko wasije kuwaachia kenya kupitisha mambo yao then wao wapige meza! Ni hayo tu. Zizou-Madrid spa.
 
Back
Top Bottom