Emmani
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 524
- 137
mbona sijibiwi?
ubunge ni nafasi ngaapi????????????
Mkuu hizi nafasi ziko NANE
mbona sijibiwi?
ubunge ni nafasi ngaapi????????????
nlikuwa nmesahau ctali profile ya willy maana namjua hadi mzee wake. waliobako naombeni profile zao. nape waweza nsaidia kwa hili.
mmmh! mkuu unampa hongera ya nini wakati hii ni hatua ya awali sana! nafasi zenyewe kama sikosei ni NANE tu
Mkuu hizi nafasi ziko NANE
Usultani zanzibar unaendelea!watoto wa bilal,mwinyi etc!wanzanzibar wanawanyima nafasi waislam wa tanzania bara
Mkuu nane kwa zote yaani wanawake, wanaume na Zanzibar? Mgawanyo ukoje katika hayo makundi?
Na Mnyeti, mzee wa nyeti yumo, alitoswaga Tucta alikuwa pandikizi la ccm
Usultani zanzibar unaendelea!watoto wa bilal,mwinyi etc!wanzanzibar wanawanyima nafasi waislam wa tanzania bara
na huku bado tuna viti maalum!
Mkuu piga basi japo kampeni hapa. Nina hakika wabunge wengi hupita hapa au muda wa kampeni bado.- Jamani heshima yenu sana JF wote niliowakosea nawaomba radhi sana, tulianza na keyboard sasa ni wakati wa vitendo, kaazi!
AHSANTENI!
William.
Mkuu vipo kwa kuwa wanawake wanapambanishwa wao kwa wao.mmh! sidhani kama kuna utamaduni huo katika nafasi hizi!
mmmh! mkuu unampa hongera ya nini wakati hii ni hatua ya awali sana! nafasi zenyewe kama sikosei ni NANE tu
Ben hii hongera yako unamaanisha kweli?
- Jamani heshima yenu sana JF wote niliowakosea nawaomba radhi sana, tulianza na keyboard sasa ni wakati wa vitendo, kaazi!
AHSANTENI!
William.
- Jamani heshima yenu sana JF wote niliowakosea nawaomba radhi sana, tulianza na keyboard sasa ni wakati wa vitendo, kaazi!
AHSANTENI!
William.
- Jamani heshima yenu sana JF wote niliowakosea nawaomba radhi sana, tulianza na keyboard sasa ni wakati wa vitendo, kaazi!
AHSANTENI!
William.