masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Kwa mtu uliyejijengea jina hapa JF that is too low.
Hii ni ya watoto wa form two.
Kwa mtu mzima haionyeshi ustaarabu.
Mkuu watu waliokulia katika mazingira tatanishi utawajua tu kwa lugha zao.
Fikra tatanishi hazipotei kulingana na makuzi, ndio maana mie nikampa pole tu huyu mkuu Matola.
Ustaarabu wa kugombea uwakilishi hapo ni nongwa.