Kama mtoto kapata division one ya point 4 hadi 6 masomo ya sayansi asilimia kubwa atakuwa kapata scholarship hata awe baba yake au mama yake Chadema kama wewe!!
Ila nahofia kuna vyama vinazalisha watoto wenye IQ ndogo sababu wazazi wao wenyewe vichwa IQ ndogo hasa walio upinzani.Samahani kama utaona kama nimekulenga wewe !!!
Mimi nimerusha jiwe hewani ukitua kwenye bichwa lako isiwe kesi
Wadau Hivi hakuna mtu anayefahamu vyuo/mahala wanapotoa scholarships za masters iwe ndani au nje ya nchi kwa upande wa accounting, economics or finance related degrees?