Wakubwa hebu tujuzane majina ya utani yaviongozi(a.k.a),watendaji,wafanyabiashara na watanzania mashuhuri.Ikiwezekana tukumbushane sababu zilizopelekea watu hao kupewa majina hayo.
Mimi ntaanza na machache:
1.Julius K Nyerere aka 'Mchonga' aka Baba wa taifa
2.Ally H Mwinyi aka 'mzee ruksa'
3.Salmini Amour aka 'komandoo'
4.Steven Wassira aka 'Tyson'
5.John M Cheyo 'bwana mapesa'
6.Mizengo P Pinda aka 'mtoto wa mkulima'
7.Moshi William aka 'TX'
Tuendeleze list
Nasikia Muda Alioutumia Hewani (namaanisha Ndani Ya Ndege Ikiwa Hewani) Ni Mkubwa Kuliko Kawaida
mbowe "dj"
Dr slaa play boy
Capt John Komba a.k.a Mzee wa msituni
KOMBA a.k.a???????