Majina ya utani(a.k.a) ya watanzania mashuhuri

Majina ya utani(a.k.a) ya watanzania mashuhuri

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,829
Wakubwa hebu tujuzane majina ya utani yaviongozi(a.k.a),watendaji,wafanyabiashara na watanzania mashuhuri.Ikiwezekana tukumbushane sababu zilizopelekea watu hao kupewa majina hayo.

Mimi ntaanza na machache:


1.Julius K Nyerere aka 'Mchonga' aka Baba wa taifa

2.Ally H Mwinyi aka 'mzee ruksa'

3.Salmini Amour aka 'komandoo'

4.Steven Wassira aka 'Tyson'

5.John M Cheyo 'bwana mapesa'

6.Mizengo P Pinda aka 'mtoto wa mkulima'

7.Moshi William aka 'TX'

8.Joshua Nassari aka 'Dogo Janja'

9.Fatma bint mbaraka a.k.a 'Bi kidude'

10.Rashid Matumla a.k.a 'snake boy'
Tuendeleze list
 
Joseph Mbilinyi aka Sugu
Judith Wambura aka Komando Jide
Ruge Mutahaba aka Mzee wa Fursa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom