meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,829
Wakubwa hebu tujuzane majina ya utani yaviongozi(a.k.a),watendaji,wafanyabiashara na watanzania mashuhuri.Ikiwezekana tukumbushane sababu zilizopelekea watu hao kupewa majina hayo.
Mimi ntaanza na machache:
1.Julius K Nyerere aka 'Mchonga' aka Baba wa taifa
2.Ally H Mwinyi aka 'mzee ruksa'
3.Salmini Amour aka 'komandoo'
4.Steven Wassira aka 'Tyson'
5.John M Cheyo 'bwana mapesa'
6.Mizengo P Pinda aka 'mtoto wa mkulima'
7.Moshi William aka 'TX'
8.Joshua Nassari aka 'Dogo Janja'
9.Fatma bint mbaraka a.k.a 'Bi kidude'
10.Rashid Matumla a.k.a 'snake boy'
Tuendeleze list
Mimi ntaanza na machache:
1.Julius K Nyerere aka 'Mchonga' aka Baba wa taifa
2.Ally H Mwinyi aka 'mzee ruksa'
3.Salmini Amour aka 'komandoo'
4.Steven Wassira aka 'Tyson'
5.John M Cheyo 'bwana mapesa'
6.Mizengo P Pinda aka 'mtoto wa mkulima'
7.Moshi William aka 'TX'
8.Joshua Nassari aka 'Dogo Janja'
9.Fatma bint mbaraka a.k.a 'Bi kidude'
10.Rashid Matumla a.k.a 'snake boy'
Tuendeleze list