Majina ya namna hii ni chanzo cha uhalifu

Majina ya namna hii ni chanzo cha uhalifu

Msemajiwao

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2016
Posts
758
Reaction score
1,819
Wale wote wenye majina ya kikatili yafutwe kutumiwa mtaani.

Mfano wa majina hayo;
1. KIFARU
2. NG'E
3. ANAKONDA
4. BLACK MAMBA
5. PANYA ROAD N.k

Pigeni marufuku wale wote wenye vikundi au majina kama hayo.
 
Acha kasumba ya utumwa! Kufuta litaanzwa jina la Mswangilishi na kubakiza KICHAKA -BUSH, MOON- MWEZI, MASUNGA- MAZIWA, BUJIKU- USIKU, ANANGISYE, ANDOLILE, BROWN RANGI YA ...., GOODLUCK,.. HAPPINESS.....NK???
 
Kuna maeneo yanaitwa majina mabaya pia:
1.popobawa
2.Uwanja wa fisi
3.mchamba wima!!
4.Kalia dole
5..........
 
Sasa majina ya watu yana usiano gan na uhalifu unao uongelea..
 
Back
Top Bottom