Majina ya mikopo diploma maalumu UDOM

Majina ya mikopo diploma maalumu UDOM

Crystal field theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
953
Reaction score
413
Habari za asubuhi wadau....

Kwa wale waliochaguliwa special program udom na wale wanaosubiri kudahiliwa kupitia nacte... Majina yawalio kosea huwa yanatoka chuoni.

Maana sisi mwaka jana yalitoka tukiwa chuoni kabisa, kwahiyo usihangaike kutafuta jina lako in a case that ukahisi halipo kwenye orodha ya waliokoseaa because hata heslb wakitoa majina ya generally kwa waliopata mikopo nyie majina yenu hayata kuwepo.

Kwahivyo basi usije kupanic kuwa jina lako halipo.because hamna mtu atakaekosa diploma maalumu na majina yatatoka mkiripoti chuoni.

Kila la kheri na maandalizi mema....
 
Acha kudanganya watoto wa watu wewe,mbona majina ya madogo flani wa ndugu zangu yamo na walisahau kuweka signature, kwa hyo piga kimya na usiwe unakariri.
 
Habari za asubuhi wadau....

Kwa wale waliochaguliwa special program udom na wale wanaosubiri kudahiliwa kupitia nacte... Majina yawalio kosea huwa yanatoka chuoni.

Maana sisi mwaka jana yalitoka tukiwa chuoni kabisa, kwahiyo usihangaike kutafuta jina lako in a case that ukahisi halipo kwenye orodha ya waliokoseaa because hata heslb wakitoa majina ya generally kwa waliopata mikopo nyie majina yenu hayata kuwepo.

Kwahivyo basi usije kupanic kuwa jina lako halipo.because hamna mtu atakaekosa diploma maalumu na majina yatatoka mkiripoti chuoni.

Kila la kheri na maandalizi mema....

nawale ambao hawakuomba mkopo itakuwaje kuhusu mkopo?
 
Asante mkuu kwa taarifa njema

Acha kuwadanganya watu wewe. mwaka jana bodi iliombwa i ifanye hivyo baada ya kuona watu wengi hawajaaply kutokana na mkanganyiko baina ya NACTE, HESLB na MoEVT. Hivyo kwa saiv vijana wafanye na wazingatie kinachoonekana kwenye web za HESLB kw maana hiyo wajiridhishe kwa majina yaliyotolewa mtandaonu. Pia nawaasa wawe wanatembelea website za HESLB na UDOM mara kwa mara kwa taarifa mpya.
NAWAKUMBUSHA PIA KUTHIBITISHA NAFAS ZA WALIOCHAGULIWA KWA KU-LOG IN KWA KUINGIZA:
USER NAME: form index #
PASSWORD: surname
 
nawale waliotuma maombi ya special diploma UDOM post zina toka lini wakuu? mwenye kujua atusaidie
 
jaman msaada wenu nahitaji,mimi nililiona jina langu kwa wale walio chaguliwa kwenda udom,lakini bado bado sijafahamu chochote cha kufanya mpaka sasa.naombeni mnisaidie

Unatakiwa uende kwenye ofisi zao DAR ES SALAAM maeneo ya MWENGE
 
Acha kuwadanganya watu wewe. mwaka jana bodi iliombwa i ifanye hivyo baada ya kuona watu wengi hawajaaply kutokana na mkanganyiko baina ya NACTE, HESLB na MoEVT. Hivyo kwa saiv vijana wafanye na wazingatie kinachoonekana kwenye web za HESLB kw maana hiyo wajiridhishe kwa majina yaliyotolewa mtandaonu. Pia nawaasa wawe wanatembelea website za HESLB na UDOM mara kwa mara kwa taarifa mpya.
NAWAKUMBUSHA PIA KUTHIBITISHA NAFAS ZA WALIOCHAGULIWA KWA KU-LOG IN KWA KUINGIZA:
USER NAME: form index #
PASSWORD: surname

Safi saaana mkuu,hili jamaa liongo na halielewi kitu na limekalilishwa linajifanya linajua kumbe linawadanganya madogo,
 
Kumbuka kama ujaomba mkopo uwezi kupata mkopo hata kama.utachaguliwa kwenye programme hii.
 
Acha kuwadanganya watu wewe. mwaka jana bodi iliombwa i ifanye hivyo baada ya kuona watu wengi hawajaaply kutokana na mkanganyiko baina ya NACTE, HESLB na MoEVT. Hivyo kwa saiv vijana wafanye na wazingatie kinachoonekana kwenye web za HESLB kw maana hiyo wajiridhishe kwa majina yaliyotolewa mtandaonu. Pia nawaasa wawe wanatembelea website za HESLB na UDOM mara kwa mara kwa taarifa mpya.
NAWAKUMBUSHA PIA KUTHIBITISHA NAFAS ZA WALIOCHAGULIWA KWA KU-LOG IN KWA KUINGIZA:
USER NAME: form index #
PASSWORD: surname

vp kwa wale ambao awakuomba na wamechaguliwa?
 
vp kwa wale ambao awakuomba na wamechaguliwa?

Kama nilivyoelewa swali ndivyo ulivyodhamiria kuuliza, "hata kama hukuomba kuja UDOM lakini kwa ufaulu wako NACTE/MoEVT imekuchagua kujiunga na special diploma in education inayotolewa UDOM ni lazima kuomba mkopo."
Kwa nyongeza tu ni kuwa tayar imeshathibitishwa kuwa wengi wa waliodahiriwa kujiunga na hii programme hawajaapply mkopo hadi leo lakini wahusika HESLB watalifanyia kazi kwa nafasi yao hivyo wahusika mjitahid kutembelea tovuti ya HESLB na UDOM.
 
Kama nilivyoelewa swali ndivyo ulivyodhamiria kuuliza, "hata kama hukuomba kuja UDOM lakini kwa ufaulu wako NACTE/MoEVT imekuchagua kujiunga na special diploma in education inayotolewa UDOM ni lazima kuomba mkopo."
Kwa nyongeza tu ni kuwa tayar imeshathibitishwa kuwa wengi wa waliodahiriwa kujiunga na hii programme hawajaapply mkopo hadi leo lakini wahusika HESLB watalifanyia kazi kwa nafasi yao hivyo wahusika mjitahid kutembelea tovuti ya HESLB na UDOM.

asante mdau nimekuelewa.hongera unakipawa cha kuelimisha vizur
 
Back
Top Bottom