Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Hii nchi ya ajabu sana upande huu unakutana na Waziri magufuri ana uwezo mkubwa lakini hasikiki akichukizwa na ufisadi, upande mwingine unakutana na waziri Mkulo uwezo mdogo na ni mtafunaji mkuu wa pesa za umma, upande mwingine unamkuta Mlugo uwezo wake mdogo sana hafai kuongoza wizara hata kuiibia hawezi.:ranger: