Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
Wewe unanipenda?
ahh mi love u bana..i wish nijue kimayai as u do...
n u seems 2b gud upstairs..zio masuto na magombano ya umu ndani ni kawaida tu..ndo yanafanya JF ikue..bt upunguze madongo kwa wale wapinzani wako...mnarushiana sana maneno sometmes...as if mnakaa nyumba ya kupanga chumba iki na kilae kumbe mwngne yupo ma londn .newyok mwngne yupo sinza bn mikocehn...
sina NYONGOMIE....siwez chukia mtu....mtu akileta wekundu mie nampa kubwa then maisha yanaendelea....nampenda tena afta kumchamba...