Majina ya kike ya Kisukuma

Majina ya kike ya Kisukuma

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,100
Reaction score
136,718
Binafsi majina ya kike wa Wasukuma hunisuuza sana moyo wangu. Ni jina gani la kike la Kisukuma ambalo wewe mwana JF unalipenda? Mimi ninayo kadhaa....

Limi
Misoji
Mihayo
Kabula
Kudahwa
Nsungi
Nana...........
 
Nyanso, Kapemba, Kalunde, Misayo, Kutogwa, Chellu, Mwilwa, Mkola, Mazila na Mwasi.

Ehh, akina Fundikira wanatunza sana majina ya Kilugha. Safi sana

Humu ndani tuna Kichuguu (Kibubunswa) Samahani nilifikiri majina yote...............
 
Haya kwangu ni mageni kwa kweli nayo ni ya kisukuma?pls help

Hasa hilo la Mwilapa? It sounds more kama la Kinyakyusa kwangu mimi....si unajua Basukuma hawana "Mwi" "mwa" na badala yake ni "ng'wa" ng'wi" n.k.
 
Binafsi majina ya kike wa Wasukuma hunisuuza sana moyo wangu. Ni jina gani la kike la Kisukuma ambalo wewe mwana JF unalipenda? Mimi ninayo kadhaa....

Limi
Misoji
Mihayo
Kabula
Kudahwa
Nsungi
Nana...........

ningekutajia jina la mpenzi wangu, ni la kisukuma orijino na ni zuri sana, ila naogopa mtamjua....................
 
ningekutajia jina la mpenzi wangu, ni la kisukuma orijino na ni zuri sana, ila naogopa mtamjua....................

Hapana Mkuu, wengine tuna wake na tuna heshimu dada zetu. Hivyo tutamfahamu tu bila ya kumjua Kipenzi cha mtu.
 
usiniambie na wewe humu umo!!!

BTW shemeji OPP naongea na B wa kwetutumpe jina la Kalunde/ Kabula nayapenda sana hayo majina!!!

Mhmmmm najua huyo ng'wifa wangu atakuwa chuma kama alivyo mama yake...mguu kaa chupa ya bia....aaaah acha tu. Nkwingwa kweli kapata mwanamke hapa.

Kila Kabula ninayemjua ni chuma. Kila Kalunde ninayemjua ni moto wa kuotea mbali. Na kila Sundi niliyekwishawahi kukutana naye took my breath away. Mimi nadhani mrushe shilingi....ikiangukia kwenye kichwa basi jina liwe Kabula...ikiangukia kwenya mkia basi jina liwe Kalunde...na ikisimama bila kuangukia upande wowote basi mwende na Sundi....unaonaje hapo shem?
 
mhmmmm najua huyo ng'wifa wangu atakuwa chuma kama alivyo mama yake...mguu kaa chupa ya bia....aaaah acha tu. Nkwingwa kweli kapata mwanamke hapa.

Kila kabula ninayemjua ni chuma. Kila kalunde ninayemjua ni moto wa kuotea mbali. Na kila sundi niliyekwishawahi kukutana naye took my breath away. Mimi nadhani mrushe shilingi....ikiangukia kwenye kichwa basi jina liwe kabula...ikiangukia kwenya mkia basi jina liwe kalunde...na ikisimama bila kuangukia upande wowote basi mwende na sundi....unaonaje hapo shem?

imekaa vizuri hiyo shem tuta-implement wazo lako!
 
Back
Top Bottom