Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,487
- 913
Tunataka Tanzania Yetu Irudi, Tanzania yenye uzalendo isiyouza Askari wake Kwa kipande kidogo Cha mkate, Tanzania isiyojadiliana Na wapuuzi wanaosema linda ila wewe usijilinde, Nyerere wapuuzi hao hakuwasikia eti mtoe amini mpakani mwako ila usimuingilie kwake, Nyerere hakuwa Na mjadala Na sheria Za kipuuzi, alimfukuzia mbali Amini si Tz tu hadi huko Uganda. Mshenzi ni mshenzi tu. Leo HII tuna VIONGOZI wanaochekacheka Na visichana tu, enyway hatuoneani gere laleni Na vibint mpendavyo but chapeni Kazi Basi, huu ujinja wa UN mtauendekeza hadi lini. Kwanini kutowasaka hao mabaradhuli Wa Sudan then Sudan become a peace state forever.. Mijitu michache inaongea upuuzi Kwa Jina la teritorial law. Ujingagani Watoto Na Kinamama wanakufa Kwa ushenzi wa watu wachache.... Upuuzi
ndiyo. wametoka Tanzania, wameifia Tanzania.
Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!
Tunataka Tanzania Yetu Irudi, Tanzania yenye uzalendo isiyouza Askari wake Kwa kipande kidogo Cha mkate, Tanzania isiyojadiliana Na wapuuzi wanaosema linda ila wewe usijilinde, Nyerere wapuuzi hao hakuwasikia eti mtoe amini mpakani mwako ila usimuingilie kwake, Nyerere hakuwa Na mjadala Na sheria Za kipuuzi, alimfukuzia mbali Amini si Tz tu hadi huko Uganda. Mshenzi ni mshenzi tu. Leo HII tuna VIONGOZI wanaochekacheka Na visichana tu, enyway hatuoneani gere laleni Na vibint mpendavyo but chapeni Kazi Basi, huu ujinja wa UN mtauendekeza hadi lini. Kwanini kutowasaka hao mabaradhuli Wa Sudan then Sudan become a peace state forever.. Mijitu michache inaongea upuuzi Kwa Jina la teritorial law. Ujingagani Watoto Na Kinamama wanakufa Kwa ushenzi wa watu wachache.... Upuuzi
....napata shaka na kauli ya Kagame, aliposema " I will hit Kikwete"....anyway labda haya ni mashaka yangu tu...
Huyo anayejiita MKWELItu kwa kuandika upuuzi hajui lolote, inaonekana amefurahishwa sana na vifo vya hawa maaskari ili CHADEMA waendeleleze siasa zao za maji takaHayo mambo ya Amini unayoyasema ni mengine kabisa, na inaelekea hauyafahamu kwa undani!
Majina ya askari saba wa Tanzania waliokufa kwenye shambulio la ghafla mjini Darfur yamepatikana.
Askari hao waliokufa ambao walikuwa kwenye vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa huko nchini Sudan ni :-
1. Sajenti Shaibu Othuman,
2. Koplo Oswald Chaula,
3. Koplo Mohamed Juma,
4. Koplo Mohamed Chikilizo,
5. Pte. Rodney Ndunguru,
6. Pte. Peter Werema,
7. Pte. Fortunatus Msofe.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kwenye mtandao ni kwamba askari hao walikwenda kujaribu kumwokoa mwenzao (ambaye hakutajwa) ambaye alisemekana kutekwa na vikosi vya waasi nchini humo.
Wakati wakijiandaa, ghafla walizingirwa na askari hao waasi na kisha kushambuliwa kwa risasi hadi kufa.
Haikufahamika hali ya askari huyo ambaye alidaiwa kutekwa kama bado yu hai ama ni miongoni mwa waliokufa.
Mungu azilaze roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina.
Hahaaa umeona eeeh..waislam wengi sana kule wanapelekana kwa mchongo na swaumu hii watakuwa walishindwa kuji defend
Nasikitika nahao waislam mauti yamewakuta katika mwezi mtukufu Wa ramadhani walitakiwa wafanye ibada[/QUOTE
Ubaguzi huo.
Inatia uchungu kweli kwa hawa ndugu zetu kupoteza maisha, kinachosikitisha ni pale fedha wanazotakiwa kulipwa wanejeshi hawa viongozi wa juu wanazifanyia ubadhirifu tukumbuke yule kiongozi wa juu wa jeshi mwenye tuhuma za kuhifadhi fedha uswiss na fedha zenyewe ni malipo kwa wanajeshi waliokuwa katika ulinzi wa amani kama hawa ambao leo wamepoteza maisha yao.hii inasikitisha tena saana.
Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!
Hivi mkuu wameifia Tanzania ama Sudan?Naomba kueleweshwa kwenye hili.Kuuliza si ujinga mkuu wangu.