Majimbo ya kukombolewa 2020

Majimbo ya kukombolewa 2020

Wewe taahira ulishashuhudia jimbo la Lusinde wewe? Unalijua jimbo la Kishapu? Unalifahamu jimbo la Kongwa? hebu tuwe fair aiseee!! Kama huna ubongo wa binadamu bora ukajikalia kimya haki ya nani!!
NA LA MPWAPWA,KIBAKWE HAJAFIKA HUYU! UKISAFIRI KWENDA HUKO UANDAE NA KATON ZA DICLOMOVE ZAKUTOSHA!
 
Karibu uchangie mradi wa maji Nkhoiree, jibo la Singida Magharibi kwa Elibariki Kingu. Singida Mashariki ni bora kuliko Singida Magharibi kwa viwango vyote.
Kuhusu ubunge,niwahikikishie,hakuna wa kumtoa Lissu na CHADEMA yake. Na kutaka kumuua ndio kabisaaa!! Labda mumuzuie kugombea kwingine ila sio kwa wanyaturu.
 
Naamini watu ambao ni makini sana na wanaojitambua zaidi ni katika jimbo la Mh Tundu A.Lissu. Kama hujui fanya utafiti.
 
Roho ya uuwaji itakufanya uweweseke hadi mwisho wa uhai wako,comment yangu ni hii:


Kwa hiyo kwa sababu huwezi kushindana na Mh.Lissu jukwaani ndiyo ukaamua umuuwe ili uchukue jimbo kiulaini?Jipange upya Lissu yu hai na anarudi na nguvu ya ajabu.

Acha kuwewekeka.
Amekufa?
 
Wadau habarini,

Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.

Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.

Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.

Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.

Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.

Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.

Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.

Aksanteni.
Lissu ni kaka wa Taifa Wapiga kura wanajua kwamba Serikali ndiyo inapaswa kujenga miuondo mbinu nakadhalika
 
Hahaha Naomba kujua khal ya jimbo la Pinda pamoja na Kassim Majaliwa maana mtoa mada anawashwa sana sasa ebu mpeni ya Hao Mawaziri tena Wakuu ili siku nyingine asushobokeee
 
Wewe ni mkazi wa jimbo hilo? Waliompigia wamekulalamikia?
 
Wadau habarini,

Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.

Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.

Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.

Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.

Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.

Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.

Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.

Aksanteni.
Fully nonsense. Kwani Chadema ndio wanaokusanya kodi?
 
Baada ya kushindwa kumuua Lissu umekuja na mapambio yako hapa.
JAMAA limevaa mewani kabisa lakini linakuja naujinga kama huu.sijui kwanini serekali pamoja nawana ccm huwa wanawachekea wajinga kama hawa.
 
Kwani mbunge ndio anaekusanya kodi na kupanga matumizi???labda kama unatumia kiungo cha kutolea taka mwilini kufikiri ndio unaongea ujinga
 
Back
Top Bottom