Kumbe Lisu amekufa?
Uzezeta gani wakati unasema jamaa wameamua wamuue ili wachukue jimbo? Mimi nilipatwa na mfadhaiko niliposoma maandishi yako. Sasa kosa langu liko wapi?Acha uzezeta,kwani comment yangu hukuisoma kabla ya kuikata na ku-quote kipande kilichokutekenya?
Kama unazungumzia Jimbo la Lissu, sahau kama UKAWA watapoteza Jimbo hata moja 2020, majimbo ya kukombolewa ni yale yanao ongeza namba ya CCM bungeni na hasa wale wasio na Msimamo binafsi hata kwa Mambo muhimu, tuta hakikisha wanaondoka as much sa possible.Wadau habarini,
Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.
Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.
Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.
Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.
Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.
Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.
Aksanteni.
Anawatetea watanzania wote siyo wanajimbo lake ambalo walimpa dhamana ya kwenda kuwasemea matatizo yaoTanzania ndio ya kulaumiwa, kwanini serikali haipeleki huduma huko wakati daily Lissu anawatetea watu wote bila ubaguzi...shame on you
Taifa hili tangu liwe huru hakuna chama chochote kingine kilichowahi kuongoza ni serikali mdiyo inayokusanya kodi cha ajabu kuna watu humu wanataka kina mdee, losu nk walete maendleo wakati maazimio yalifikiwa bungeni kuwa hazitapelekwa pesa za maendeleo kwenye majimbo ya wapimzaniWadau habarini,
Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.
Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.
Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.
Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.
Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.
Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.
Aksanteni.
Malisa Godlisten hivi majuzi alikuwa anamsifia Bulaya kupeleka maji Bunda ...Je kazi ya Bulaya ni kupeleka maji jimboni?Kwani Mbunge kazi yake ni kujenga barabara,zahanati,kupeleka maji au kujenga shule?
Somo la Uraia lilikupita kushoto nini?
Arusha Mjini!!Taja jimbo moja lililo endelea Tanzania.
.....Wadau habarini,
Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.
Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.
Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.
Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.
Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.
Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.
Aksanteni.
Wadau habarini,
Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.
Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.
Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.
Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.
Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.
Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.
Aksanteni.
Wakati wa kampeni TL alituahidi kuwa tumchague ili atuletee maendeleo sasa ameshindwa ila anawatetea wazungu Acacia!Huyu Boniphace yuko jimbo gani ambayo imeendelea kuliko East Singida?Ukisoma Katiba imeandikwa kuwa serikali ina wajibu wa kuleta maendeleo kwa wananchi wake.Kazi ya mbunge ni kutunga sheria,kukosoa serikali pale inapokosea,kuwakilisha wananchi kwa kuishauri serikali kuhusu changamoto zinazokabili wananchi wake,je kama ni kwel Singida mashariki kiuchumi iko chini kuliko majimbo mengine kwanini serikali ya ccm imetenga wananchi wa Singida mashariki au walikuwa wanawakomoa kwa sababu ya kumchagua TL?
Siyo hata ya kuuliza,ila singida mashariki "andhaa khanun" imezidiNi majimbo gani yenye maendeleo makubwa vijijini mkononi mwa Ccm.