Mdudu halisi
JF-Expert Member
- May 7, 2014
- 2,730
- 4,769
Ndo hajui hata wajibu na majukumu ya mbunge.
Kupeleka siyo hoja. Bottom line ni kwamba hiyo siyo responsibility ya mbungeMalisa Godlisten hivi majuzi alikuwa anamsifia Bulaya kupeleka maji Bunda ...Je kazi ya Bulaya ni kupeleka maji jimboni?
Muwe mnawasiliana kabla ya kuja kupost
Yupo jimbo la lumumbaHuyu Boniphace yuko jimbo gani ambayo imeendelea kuliko East Singida?Ukisoma Katiba imeandikwa kuwa serikali ina wajibu wa kuleta maendeleo kwa wananchi wake.Kazi ya mbunge ni kutunga sheria,kukosoa serikali pale inapokosea,kuwakilisha wananchi kwa kuishauri serikali kuhusu changamoto zinazokabili wananchi wake,je kama ni kwel Singida mashariki kiuchumi iko chini kuliko majimbo mengine kwanini serikali ya ccm imetenga wananchi wa Singida mashariki au walikuwa wanawakomoa kwa sababu ya kumchagua TL?
La lumumbaTaja jimbo moja lililo endelea Tanzania.
We jamaa una akili kubwa sanaMajimbo ya kukombolewa ni MWIBARA,KINYEREZI,MULEBA,MVOMERO,IRAMBA ZOTE,MTWARA MJINI NK
Ukitupa tofauti na Majimbo mwenza ya Singida tunaweza kukusikiliza japo kidogo.
Na kwa sasa naona mko busy kupeleka Maji na kuhudumia hospital itakuwa rahisi mno kulirudisha maana mnasolve vipaumbele vya jimbo bika kujitambua.
Na mnaweza mkajikuta mnapoteza mengine kwa maana wananchi Wa Singida watajiukiza kumbe ukichagua upinzani hopitali na Maji yanakuja bila kutumia nguvu kubwa.
Hongera sana Lissu.Kwako we we mleta mada pambana na hali yako Lissu humuwezi
Ungeanzia Dodoma maeneo ya Bahi watu wanaishi kwa kula viwavi jeshi, jiulize kuanzia uhuru CCM ipo madarakani mpaka leo ila hata kusambaza maji ya kunywa bado ni shida.Wadau habarini,
Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.
Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.
Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.
Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.
Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.
Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.
Aksanteni.
Kwa hiyo majimbo mengine yanayoendelea yako chini ya nani?
Hivi unajua kuwa mbunge anapeleka changamoto za jimbo lake lakn fedha za maendeleo znatolewa na serikali_? Serikali ikoje kimawasiliano na vyama pinzan hadi iviunge mkono 100% majimbon mwao????Uzezeta gani wakati unasema jamaa wameamua wamuue ili wachukue jimbo? Mimi nilipatwa na mfadhaiko niliposoma maandishi yako. Sasa kosa langu liko wapi?
Mngejua hata kura mlizopata 2015 singida mashariki 2020 mtazisikiaga tu mnashindwa kutushawishi kwa hoja mnakimbilia kumuuwa mbunge wetu...kwani shida zetu zitatatuliwa na mbunge kwani ndio mnaompaga kodi zetu mnazokusanyagaWadau habarini,
Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.
Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.
Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.
Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.
Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.
Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.
Aksanteni.
mbunge ni mwakilishi wetu tu anachowaambia hamumsikilizi sasa yeye afanyaje....2020 tunamrudisha kwa kishindo bungeni hata kama atakuwa anatambaa wauwaji wakubwa nyinyi
Wakati unazungumza haya ujue Ruangwa kwa Waziri mkuu Majaliwa hakuna maji na umeme wa uhakika. Pia Iramba kwa Mwigulu Nchemba, maji ni ya tabu sana. Je nako kukombolewe?Wadau habarini,
Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.
Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.
Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.
Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.
Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.
Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.
Aksanteni.
USIWADHALILUSHE CHEKECHEA MKUUUsidharilishe std seven mkuu
Hiki ni kiwango cha graduate wa chekechea
IKIBIDI MKUUWakati unazungumza haya ujue Ruangwa kwa Waziri mkuu Majaliwa hakuna maji na umeme wa uhakika. Pia Iramba kwa Mwigulu Nchemba, maji ni ya tabu sana. Je nako kukombolewe?