Majimbo ya kukombolewa 2020

Majimbo ya kukombolewa 2020

Mbona huongelei 50 yrs ya ubunge chini ya ssm?.au zilikuepo hzo huduma za jamii baada ya upinzani kuchukua jimbo zikatoweka?.poor you...
 
Km lipo chini kiuchumi ni wakati wa kuilalamikia ccm hapo zaidi ya miaka 50 lkn jimbo bado uchumi ovyo fungua akili zako uone tatizo lipo wp! Wao wanakusanya kodi maendeleo hakuna unaanza kumlaumu mbunge lini umempa kodi yako hakuletee maendeleo?

Sasa maendeleo yakienda huko jimboni kwake Lisu atapata wapi hoja za kuwadanganyia wananchi..Ni lazma akwamishe tuu
 
Back
Top Bottom