Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

Asilimia kubwa ya members humu si wapiga kura. Kina mama na akina baba wametulia wanasubiri mbili na kumi na tano wakaipihie ccm.
 
toka lini warangi wakamchagua mkatoliki

kwa hiyo unataka kutuambia ccm ni chama cha kiislamu? Sasa unatuaminisha kuwa kikwete alitumia uislamu kuingia ikulu.

Hata hivyo kabla ya Juma Nkamia mbunge wa hapo alikuwa Mkatoliki Paschal Degela

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
TUJADILI RASIMU YA KATIBA GUYS. This is the only moment of thinking and discussing critically and logically about our Constitution draft rather than being in the depth illussion thought of Constituences.
Mawazo yako ni mazuri lakini nakushauri uanzishe uzi wa rasimu ya katiba mpya tutajadili.
mambo haya mawili yataenda pamoja.ni sawa na mke wako akiwa mjamzito akajifungua mapacha huwezi kuua mtoto mmoja eti kwa sababu ulikuwa umefanya maandalizi ya mtoto mmoja.Unajifunga kibwebwe kufuatana na yaliyojitokeza.
Hivyo katiba ni muhimu na uchaguzi ni muhimu.
 
nani kakwambia lukuvi atarudi jimbo la isimani au upo nje ya nchi hii,chiku hata asipopiga kampeni jimbo kachukua hata lukuvi anafehemu hilo!

wewe unaonekana upo nje ya isimani. Msidanganyike na maneno ya Chiku nimeenda pawaga na idodi nikiwa katika biashara zangu za mpunga nikawa nawauliza Watu kuhusiana na Chiku, kwanza hawamfahamu kabisa wananiuliza ndo nani huyo.
 
Bora umesema kule Ismani kwa kweli msiongee kitu kuhusu Lukuvi. Labda Mufindi kaskazini kwa Mahmd Mgimwa kama atagombea mtamtoa.
 
haya ni baadhi ya majimbo ambayo ccm wataya kabidhi upinzani
1.jimbo la aeshi.
2.jimbo la wassira
3.jimbo la mkulo
4.jimbo la magufuli
5.jimbo la kafumu
6.jimbo la mkuchika
7.jimbo la makinda
8.jimbo la lukuvi
9.jimbo la ndugayi
10.jimbo la nkamia
mengine unaweza kuongeza.................!
kamanda pamoja na kilwa kaskazini tayari maccm wameshafunga virago.na mungu awalaze maala pema peponi amina.
 
haya ni baadhi ya majimbo ambayo ccm wataya kabidhi upinzani
1.jimbo la aeshi.
2.jimbo la wassira
3.jimbo la mkulo
4.jimbo la magufuli
5.jimbo la kafumu
6.jimbo la mkuchika
7.jimbo la makinda
8.jimbo la lukuvi
9.jimbo la ndugayi
10.jimbo la nkamia
mengine unaweza kuongeza.................!
kamanda pamoja na kilwa kaskazini tayari maccm wameshafunga virago.na mungu awalaze maala pema peponi amina.
 
Back
Top Bottom