Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

Ole medeye pia hapiti. Tulichemsha kwani tumechagua mbunge wa dar badala ya Arumeru magharibi.
 
songea vijijini kwa jenista, tunamsubiri kwa hamu kubwa kamanda prof j.
 
Kwa Lukuvi napinga kabisa lazima Arudi bungeni msijifariji na maneno ya Chiku. Chiku hata akigombea udiwani kule hapiti
jimbo la lukuvi kama chadema wanataka kulibeba mwaka 2015 wafanye operesheni ya nguvu. Wananchi wana tamani sana kuwaona viongozi wa chadema kama zitto,dr slaa na hata tundu lissu! Chadema wakikosa jimbo la lukuvi ni kwa uzembe wao tu!
 
Haya ni baadhi ya majimbo ambayo ccm wataya kabidhi upinzani
1.jimbo la Aeshi.
2.jimbo la wassira
3.jimbo la mkulo
4.Jimbo la magufuli
5.Jimbo la kafumu
6.jimbo la mkuchika
7.jimbo la makinda
8.jimbo la Lukuvi
9.jimbo la Ndugayi
10.jimbo la Nkamia
mengine unaweza kuongeza.................!
Sipendi kuona watu wanaoleta ngonjera humu kwa therad zisizo na uchambuzi mzuri na kutetea hoja,haya nini kimekufanya useme kuwa haya majimbo ccm watayaacha?
Rudi ufananue ili mjadili kwa hoja sio kurusha mawe humu halafu unakimbia kusikojulikana
 
Tuheshimiane sanaa . Jimbo hili ni la SUMBAWANGA MJINI, huyo mliyemtaja katika namba 1. amejipenyeza kwa muda sasa, bungeni bubu jimboni kipofu na kitaifa kiziwI. hata iwe uchaguzi KESHOOOOO HATUMUPIIIIIIIIIII
 
Sipendi kuona watu wanaoleta ngonjera humu kwa therad zisizo na uchambuzi mzuri na kutetea hoja,haya nini kimekufanya useme kuwa haya majimbo ccm watayaacha?
Rudi ufananue ili mjadili kwa hoja sio kurusha mawe humu halafu unakimbia kusikojulikana

umetumwa na magamba nini? Ukitaka hoja taja kwanza fisadi mmoja kutoka ccm
 
Sipendi kuona watu wanaoleta ngonjera humu kwa therad zisizo na uchambuzi mzuri na kutetea hoja,haya nini kimekufanya useme kuwa haya majimbo ccm watayaacha?
Rudi ufananue ili mjadili kwa hoja sio kurusha mawe humu halafu unakimbia kusikojulikana

1.jimbo la kafumu na Aeshi ni usanii tu uliofanywa na ccm ili kubalance mambo,kama kawaida ya Ccm
2. Jimbo la wasira na magufuli watu hawamtaki,ilifikia hatua wasira alikuwa anazomewa na wananchi
3.jimbo la mkuchika,yeye alishinda kwa 1% dhidi ya mpinzani wake.
4.Jimbo la Ndugayi na makinda hii imeoneshwa na wao wenyewe kuwa hawako tayari kutetea maslahi ya wananchi wao,ikiwa pamoja na kuzima hoja za wapinzani kwa ubabe
5.Lukuvi anatumia nguvu ya dola,kitu ambacho wananchi wake hawakitaki.
6......ongezea.
 
Jimbo la pinda,hakuna alilofanya hata lami waliyoweka ni kuondoa aiby tu.Kwa mfano eneo kama maji ya moto,watu wanakunywa hivyo hivyo(maji ukiyaweka siku mbili yanakuwa ya bluu haya ni maji salama kweli?),maeneo mengine ni mamba,kilida,kasansa.
Umeme wenyewe kapeleka solar tu,tarafa nzima ambulance moja.Katoa vipikikpiki kila shule ya secondari,kama sio kuongeza gharama za uendeshaji shule ni nni?
Chadema kunahitajika mgombea haraka sana,pinda watu hawamtaki
 
Haya ni baadhi ya majimbo ambayo ccm wataya kabidhi upinzani
1.jimbo la Aeshi.
2.jimbo la wassira
3.jimbo la mkulo
4.Jimbo la magufuli
5.Jimbo la kafumu
6.jimbo la mkuchika
7.jimbo la makinda
8.jimbo la Lukuvi
9.jimbo la Ndugayi
10.jimbo la Nkamia
mengine unaweza kuongeza.................!

this must be naive from a totally confused. Yani unawaza uchaguzi tu, hopeless
 
this must be naive from a totally confused. Yani unawaza uchaguzi tu, hopeless

sasa ktk politics ucpowaza uchaguzi ambao ndio demokrasia ktk kubadili mfumo wa utawala,unataka niwaze nini? Au unataka niwaze kama unavyowaza wew kung'oa watu kucha na meno,kubambikiza kesi za ugaidi na ujangili?
 
this must be naive from a totally confused. Yani unawaza uchaguzi tu, hopeless

CCM mnalala na kuamka mnawaza muifanyie kibaya gani Chadema,sisi kama chama makini tunawaza uchaguzi.Ikumbukwe kuwa upinzani sio uadui kama nyie akili ndgo mnavyowaza.Upinzani ni kuwa na itikadi na mitazamo inayokinzana,sasa nyie magamba mnawaza kufanya kibaya,kama sio uwezo wenu mdogo wa uelewa wa mambo ni nini? Hii ni elimu ya bure kwa magamba ambao akili zao ni ndogo.
 
Back
Top Bottom