Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

Maoni yangu ni kuwa marais watatu watatupasua masikio kqa ving'ora jamani bora awe mmoja tu maana watakuwa wanapishana kutwa airport kwenda ulaya kuhemea

Mkuu yaya toure Umenifurahisha Mno! Umeakisi maisha ya urais as deviced by JK!
 
Haya ni baadhi ya majimbo ambayo ccm wataya kabidhi upinzani
1.jimbo la Aeshi.
2.jimbo la wassira
3.jimbo la mkulo
4.Jimbo la magufuli
5.Jimbo la kafumu
6.jimbo la mkuchika
7.jimbo la makinda
8.jimbo la Lukuvi
9.jimbo la Ndugayi
10.jimbo la Nkamia
mengine unaweza kuongeza.................!
MAJIMBO MENGINE:
11.Gairo (Shabiby)
12.Dodoma (Malole)
13.Mvomero (Makala)
14.Mikumi (Ameir)
15.Kilombero(Mteketa)
16.Iramba (Mwigulu)
17.Ulanga (Komban & Mponda)
 
Back
Top Bottom