Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,412
Habari wandugu!
Tatizo la kuoanda bei kwa gesi na mkaa limepatiwa suluhisho baada ya majiko local yanayotumia mawe na nguvu ya jua ya solar kugunduliwa.
Jiko hili linatumia mawe ya kusugulia miguu kutengeneza nishati ya moto ambayo yanaweza kudumu kwa miezi 7 baada ya kuanza kutumiwa nguvu ya nishati inachagizwa na nishati itokanayo na solar energy ambayo inatunza moto kwenye kifaa maalum kilichomo ndani ya jiko.
Tunapatikana Mwanza kwa sasa bila order zinafika mkoa wowote hapa Tanzania. Nimeambatanisha na picha kwa maelezo zaidi.
Au piga 0755006470
Ni rahisi na rafiki kwa mazingira. Karibuni!
Tatizo la kuoanda bei kwa gesi na mkaa limepatiwa suluhisho baada ya majiko local yanayotumia mawe na nguvu ya jua ya solar kugunduliwa.
Jiko hili linatumia mawe ya kusugulia miguu kutengeneza nishati ya moto ambayo yanaweza kudumu kwa miezi 7 baada ya kuanza kutumiwa nguvu ya nishati inachagizwa na nishati itokanayo na solar energy ambayo inatunza moto kwenye kifaa maalum kilichomo ndani ya jiko.
Tunapatikana Mwanza kwa sasa bila order zinafika mkoa wowote hapa Tanzania. Nimeambatanisha na picha kwa maelezo zaidi.
Au piga 0755006470
Ni rahisi na rafiki kwa mazingira. Karibuni!