Majibu yatongozo and how to react/nini cha kufanya

Majibu yatongozo and how to react/nini cha kufanya

Hapo kwenye mawasiliano mazuri ndo penyewe ndo kukubaliwa kwenyewe.....
Mapozi inategemea may be kuna vitu hajaridhika nawe hivo anajipa time ili uoneshe vitu vitakavofanya apate hisia.
Nikikuomba mzigo ukisema mimi sio mwanaume wako
mnaanza kusumbua kutoa mzigo
 
Lazima uwe katika mawazo mazuri unapo tongoza lasivƴo jibu moja tu we unakata tamaa. Ƙazima ujue kukata mistari ƴa majiɓu ƴa mtongozwaji
 
"ndio nimekubali" mmmmh hapana sio tamu kabisa
Kuna wengine bila kukumbushia wanajifanya kama wamesahau..
Unakuta mmekubaliana kesho akupe jibu ila hiyo kesho ikifika mkikaa atakuhadithia story za kirikuu tuu. Na usipomuuliza anavunga tu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Poleni sasa. Wanawake sikuizi ni wakutongoza kweli? Mi hta kutongoza sijui. Najua kuita geto na kugegrda tu.

Tena ngoja nikajiandaye leo kuna kaFirst year from chuo flani nimekakaribisha kwangu. Knakuja namaliza. Nyie endeleeni na mambo yenu ya kizamani.
Si kwamba mkuu unaambulia wale wasiojielewa
 
Miss chagga ana kauli yake anasemaga tafuta pesa mwanaume...leo hii naseeb sukari mjini
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nadharia nyingi zimepitwa na wakati, nina mifano kadhaa ambayo wanawake wameniambia jibu no.1-4 na wote nimewagegeda mwisho wa siku.

Siri kuu ni moja, “know your target” kwenye kutongoza kuna vitu muhimu kuvitilia mkazo. Hivi ni “input-output” yaani ana react vipi unapofanya kitu.

Sikubaliani kumtokea KE siku ya kwanza, acha mvuto kati yenu ujengeke. Utajikuta unatupia sound dk 2 tu ushakubaliwa, zinabaki story tu “oohhh nilikupenda tokea zamani” mara “oohh nilijua una mtu” au “flani akijua itakuaje?”

Nilishawahi kujibiwa jibu namba 2 kama kaka....nikawa naitwa kaka...lakini mwisho nilikula mzigo ila kwa taabu sana...sasa hivi kuna kamoja naona kameanza kuniita kaka..ni ka mwanafunzi ka udaktari....nafikiria jinsi ya kuumaliza ukaka
 
tricky zipo nyingi sana,kutongoza ni kizamani maisha yashabadirika unaweza kutumia mbinu yeyote na ukampata mwanamke mzuri tu sababu ya ukichaa wako,wanawake wanapenda fun things,they need to feel happy and be loved,tena kwa vitu vya kijingakijinga tu,kuna demu mkali kitaa alihamia vijana wamekimbiza na saundi zao kawachomolea,mhuni nilivyoonyeshwa nikamlia tyiming anapita nikampiga picha kali kwa kutumia simu,alikuwa anakuja uelekeo ninaotokea,akahisi nimempiga picha,tulivyokutana nikamshika mkono nikamwambia mambo huku kakunja sura,akajibu huki hapendi nikamwambia nimekupiga picha umejiona ulivyo mzuri,akaitazama kabla hajasema chochote nikamwambia nipe namba yako ya whatsapp nikurushie picha yako,akacheka akaniambia nimpe simu aiandike,akaandika akanipa simu nikaisave nikamrushia pia na kumsifia kidogo,akajibu kuwa nimemfurahisha pia naonekana mtundu,tukachat chat kama wiki hivi akala dyu dyu hadi saiv ni mwanamke wangu,nikaonekana biiingwa kumbe tricks tu..so mwanmke yeyote unaweza kumpata popote bila sababu yeyote ya maana,siamini katika kanuni yeyote..

Mademu wanapenda mwanamme asiyetabirika au asiye eleweka, hawapendi formalities sababu zinaboa........kuna kademu karembo kanafanya kazi halotel...nilikuwa naenda naye kibrazameni sana....viwanja vya maana lakini papuchi akawa ananiyeyusha.....kuna siku nikachoka nikavua ngozi ya kondoo...nikampeleka sehemu zangu za kihuni....huko hakuna cha ustaarabu wala nini ,hakuna formality yeyote.....watu wako free sana ,wanagonga vyombo,wanatoa shooo nk nk...kumbe yeye ana enjoy sana...naye akawa mwehu kabisa....akaniambia huku ndiyo napenda,nilimiss mambo haya muda mrefu....baadaye tulipanga kwenda Mzalendo disco lakini tulivyofika pale Mzalendo nikagundua ameshalegea na ameshalowa vya kutosha,....sikumchelewesha nikaenda naye mitaa ya ndani ndani Regeant estate nikamgonga kwenye gari....ali enjoy sana sana...kuanzia siku hiyo ndiyo ikawa tabia mpaka leo....na hatujawahi kwenda Lodge wala Guest..........
 
Back
Top Bottom