Majibu yatongozo and how to react/nini cha kufanya

Majibu yatongozo and how to react/nini cha kufanya

Nakuchulia kama kakaangu/I see/take you as my brother.
Dadeki jibu linauma hili asikuambie mtu,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Napenda uwe rafiki yangu tu/Tubakie marafiki tu

Majibu Randomly(Mi mkubwa kwako au wewe mdogo sana kwangu.
[emoji25] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Poleni sasa. Wanawake sikuizi ni wakutongoza kweli? Mi hta kutongoza sijui. Najua kuita geto na kugegrda tu.

Tena ngoja nikajiandaye leo kuna kaFirst year from chuo flani nimekakaribisha kwangu. Knakuja namaliza. Nyie endeleeni na mambo yenu ya kizamani.
 
Nadharia nyingi zimepitwa na wakati, nina mifano kadhaa ambayo wanawake wameniambia jibu no.1-4 na wote nimewagegeda mwisho wa siku.

Siri kuu ni moja, “know your target” kwenye kutongoza kuna vitu muhimu kuvitilia mkazo. Hivi ni “input-output” yaani ana react vipi unapofanya kitu.

Sikubaliani kumtokea KE siku ya kwanza, acha mvuto kati yenu ujengeke. Utajikuta unatupia sound dk 2 tu ushakubaliwa, zinabaki story tu “oohhh nilikupenda tokea zamani” mara “oohh nilijua una mtu” au “flani akijua itakuaje?”
we ndo master sasa[emoji3] [emoji3]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom