tricky zipo nyingi sana,kutongoza ni kizamani maisha yashabadirika unaweza kutumia mbinu yeyote na ukampata mwanamke mzuri tu sababu ya ukichaa wako,wanawake wanapenda fun things,they need to feel happy and be loved,tena kwa vitu vya kijingakijinga tu,kuna demu mkali kitaa alihamia vijana wamekimbiza na saundi zao kawachomolea,mhuni nilivyoonyeshwa nikamlia tyiming anapita nikampiga picha kali kwa kutumia simu,alikuwa anakuja uelekeo ninaotokea,akahisi nimempiga picha,tulivyokutana nikamshika mkono nikamwambia mambo huku kakunja sura,akajibu huki hapendi nikamwambia nimekupiga picha umejiona ulivyo mzuri,akaitazama kabla hajasema chochote nikamwambia nipe namba yako ya whatsapp nikurushie picha yako,akacheka akaniambia nimpe simu aiandike,akaandika akanipa simu nikaisave nikamrushia pia na kumsifia kidogo,akajibu kuwa nimemfurahisha pia naonekana mtundu,tukachat chat kama wiki hivi akala dyu dyu hadi saiv ni mwanamke wangu,nikaonekana biiingwa kumbe tricks tu..so mwanmke yeyote unaweza kumpata popote bila sababu yeyote ya maana,siamini katika kanuni yeyote..