Unakielewa kilichoandikwa?
Mkuu Nyerere nitapataje hiko kitabu chako?
Na pia nitapataje hayo maandiko ya Mohammed Said?
Ni vizuri kujua historia ya nchi yetu beyond Mwl Nyerere, however, character assassination wont help anyone now or later.
Unakielewa kilichoandikwa?
Hahahahaha!! Naona yupo na Nicolas wanaladhimisha Mohamed Saidi aje kwenye huu uzi hili wapate kiki.sahimtz
Uzi huu tumeamua kutowajibu, mwenye swali lake aje kwenye uzi orijino. Huu ni Yericko Nyerere anatafuta kiki kwa kutumia jina la Alama Mohamed Said.
Tumemstukia.
Hahahahaha!! Naona yupo na Nicolas wanaladhimisha Mohamed Saidi aje kwenye huu uzi hili wapate kiki.
Sasa Pasco,muandishi wa leo anaweza kuwa "mrongo"zaidi kuliko wa jana,kwakuwa angalau wa jana alikutana na masalia ya watu walioyaishi maisha yanayotengeneza historia ya kweli,au kuyapokea kutoka kwenye midomo michache zaidi kwenda nyuma na hivyo kupunguza upotoshaji,kuliko kutoka kwa mwanahistoria wa leo ambae amepokea kutoka kwenye mamia ya wapokeaji.Mkuu Sspai kacha, mimi nimemuunga mkono Yeriko kwa asilimia 100% kupinga urongo uliondikwa na mrongo fulani. Hoja yangu ni uongo ukisemwa sana na kuachwa biła kukanushwa ndio unageuka ukweli. Andishi la uongo linapingwa na andishi la ukweli na waandishi wote wa historia sources zao ni fasihi simulizi sasa mtu anapodanganywa na waliomsimulia urongo kisha akauandika urongo huo kama ukweli , kama hatatokea mtu mwingine anayeujua ukweli bayana na kuuweka wazi , then watu wataishia kulishwa urongo.
Hivyo alichofanya Yeriko ni kitu kizuri sana.
Pasco
Umesha kisoma kitabu cha Mohamed Said na hiki changu?Nionazo ni sarakasi tu za Yericko na wenzie kamwe hawawezi kusimama kwa hoja kama alivyo Mzee Mohammed Said, baadhi ya majibu yao kwa comment zitolewazo yamejawa na mihemko na dhana ya ubishani na wala c kumfahamisha yule atakaye kujua kama afanyavyo Mzee Mohammed. Mtu hujifunza busara hata kwa adui yake au anayedhani kuwa mdhaifu kwako, basi hebu jifunzeni busara za kujibu hoja za watu kama afanyavyo mzee Mohammed huenda mkakaribia kueleweka kidogo.
Hawa Nyerere kwao ni najisi kumtajaNilitaka kushangaa kama huyu bibie asingetokea labda alikua mgonjwa. Mghaka hawa jamaa nashindwa kuwaelewa pamoja na mwalimu kuwasaidia kwa kutaifisha shule za wakatoliki wenzake bado wanamuita mdini. Hatari .
Hatuji huko mama, wewe mwambie mzee wako aje ajibu huku tuWakitaka wajibiwe waje huku kulipoanzia: Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya
Wewe una majibu ya uzi huu au Mohamed Saif?sahimtz
Uzi huu tumeamua kutowajibu, mwenye swali lake aje kwenye uzi orijino. Huu ni Yericko Nyerere anatafuta kiki kwa kutumia jina la Alama Mohamed Said.
Tumemstukia.
Mkuu Nyerere nitapataje hiko kitabu chako?
Na pia nitapataje hayo maandiko ya Mohammed Said?
Ni vizuri kujua historia ya nchi yetu beyond Mwl Nyerere, however, character assassination wont help anyone now or later.
Amewatuma nyinyi mje mmjibie.Hahahahaha!! Naona yupo na Nicolas wanaladhimisha Mohamed Saidi aje kwenye huu uzi hili wapate kiki.
Kwenye taaluma ya uandishi hakuna vipimo hivyo, histori ni somo linalofuata misini ya ukweli na sio akili ya mwandiki bali tukio lilivyotukiaSasa Pasco,muandishi wa leo anaweza kuwa "mrongo"zaidi kuliko wa jana,kwakuwa angalau wa jana alikutana na masalia ya watu walioyaishi maisha yanayotengeneza historia ya kweli,au kuyapokea kutoka kwenye midomo michache zaidi kwenda nyuma na hivyo kupunguza upotoshaji,kuliko kutoka kwa mwanahistoria wa leo ambae amepokea kutoka kwenye mamia ya wapokeaji.
Vipi Yeriko awe na ukweli kumzidi babu yake Mohamed Said ambae ana machapisho katika vyuo vikuu vingi duniani,mbali ya idadi ya machapisho yake?
Hahahha uzi umedoda naona mpaka Nicholas kakukimbia au leo ujamnunulia wanzuki.Amewatuma nyinyi mje mmjibie.
Hebu soma hii post yako ni namba ngapi!? kwenye uzi "uriododa"Hahahha uzi umedoda naona mpaka Nicholas kakukimbia au leo ujamnunulia wanzuki.
Posts 13 posts 6 za kwangu zinazobaki za wachanguaji wanne tu.Hebu soma hii post yako ni namba ngapi!? kwenye uzi "uriododa"
Hivi hamchoki? Hizo porojo za barazani mtaani Gerezani zimechuja na labda malimbukeni pekee ndio wana muda wa kusikiliza/kusoma ngano za huyo mueneza umbeya. Nyakati hizi si kama huko nyuma mtu anajifungia chumbani na kuanza kudanganya Umma kupitia kalamu yake akitegemea hakuna watu watahoji. Tuliozichoka hadithi zake tukiona hilo jina tu wala hatuhangaiki, tunajua anahadithia nini na kwa malengo gani.sahimtz
Uzi huu tumeamua kutowajibu, mwenye swali lake aje kwenye uzi orijino. Huu ni Yericko Nyerere anatafuta kiki kwa kutumia jina la Alama Mohamed Said.
Tumemstukia.
Nipo Namilembe Ukerewe nilitee copy moja.Kwa waliopo Tanzania wanaohitaji kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kwa mauzo ya jumla na rejareja fika Posta mtaa wa Samora Jengo la NHC ghorofa ya kwanza duka la House of Wisdom Bookshop,
Au piga simu 0715865544. / 0755865544 Nitakuletea mahali ulipo
Bei Rejareja ni Shilingi 30,000 na Bei ya jumla ni 25,000
Wale waliopo nje ya Tanzania, nunueni kupitia mtandao wa Amazon.com
Dowload hapa chini sasa..
Amazon.com: Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi (Afrikaans Edition) eBook: YERICKO NYERERE: Kindle Store
Km hujawahi fanya juhudi ya kutoa "wanaladhimisha" ni wazi hujawahi hata fikiria futa ujinga wako. Kick ya Watu wa hovyo km nyie inawafaa nyie wa kutaka marks zishushwe ili mfaulu. Kick inafaa huyu mzee wenu.Hahahahaha!! Naona yupo na Nicolas wanaladhimisha Mohamed Saidi aje kwenye huu uzi hili wapate kiki.
Hao jamaa ni wa giza , ukiwapa mwanga wanakuwa waoga na wadogo sana.Hawa jamaa hawawezi simamia ktk fikra huru au critical thinking, wao na Ccm wanataniana ndio maana michezo yao ya paka na panya inaenda . Hadi sasa Yericko amesha reverse miaka yao kibao ya kudanganyana.Hivi hamchoki? Hizo porojo za barazani mtaani Gerezani zimechuja na labda malimbukeni pekee ndio wana muda wa kusikiliza/kusoma ngano za huyo mueneza umbeya. Nyakati hizi si kama huko nyuma mtu anajifungia chumbani na kuanza kudanganya Umma kupitia kalamu yake akitegemea hakuna watu watahoji. Tuliozichoka hadithi zake tukiona hilo jina tu wala hatuhangaiki, tunajua anahadithia nini na kwa malengo gani.
Takbih! Itabidi huyu mzee wamuweke kwenye no fly list ili apumzike. Sitajisikia vizuri kupanda ndege moja na huyu mzee. Chuki yake kwa Mwl. Nyerere na Ukristo vinatisha. Maandishi yake yote lengo lake ni hilo moja tu hata ajifiche katika academics/usomi vipi. My gosh. Enough is enough!Hivi hamchoki? Hizo porojo za barazani mtaani Gerezani zimechuja na labda malimbukeni pekee ndio wana muda wa kusikiliza/kusoma ngano za huyo mueneza umbeya. Nyakati hizi si kama huko nyuma mtu anajifungia chumbani na kuanza kudanganya Umma kupitia kalamu yake akitegemea hakuna watu watahoji. Tuliozichoka hadithi zake tukiona hilo jina tu wala hatuhangaiki, tunajua anahadithia nini na kwa malengo gani.