Majibu yangu kwa Mohamed Said dhidi ya habari za Chifu David Kidaha

Mzee kachukia kila akitaka jijenga kwa I'd ili ajikaribishe tunatibua.

Hawa jamaa hawana maadilibya kutosha kuweka kitu wananchoamini ni sahihi. Hawa hawa jamaa waliamua kusema wamissionary walishiriki kusaidia ukoloni. Ila ni baada ya kitu wanachokikataa hapa kwa faida ya muda kupotosha muda huo. Wamissionary walibanwa sana ili wapate ulinzi dhidi ya jihadists akina mkwawa, abushir, kinje, mirambo etc wali hitaji compromise kiasi fulani.
Hahahahaa akiona vijana wake wanaelemewa atakuja kujaribu kuokoa jahazi
 
Mkuu unapenda sana kutafuniwa nawe umeze tu? Dola 9.99 inakushinda lakini unakesha kubishana hapa jf?

Haya nimekupa marejeo kidogo tu kati ya vitabu 260 na nyaraka kadhaa nilivyotumia

Inaelekea kuwa sikukutendea haki. Mimi nilidhani umeandika kitabu kitaaluma kumbe ni kufurahisha genge tu. Samahani sana, Mkuu. Lakini kabla sijaondoka, ningependa kukufahamisha kuwa wasomi wenzako wakiweka marejeo kwenye vitabu vyao wanaunganisha andiko na kurasa za kitabu husika. Hii ni kuepusha kujaza tu vitabu hata vile visivyohusiana na maandiko yako. Samahani tena.

Na mwisho, si kila mtu anayekukosoa ni kwa misingi ya dini.

Amandla............
 
mkuu kuna mahali mnamshambulia unfairly yericko. UK km uchina miaka yote walikuwa waki jaribu control catholic ndani ya uingereza na hata north Ireland. Same kwa German. Wamissionary si mara moja wakibanwa na serikali kutoa ushirikiano km wanataka ulinzi kwa nchi hostile km Tanzania ya waislam wenye msaada wa waarabu ktk kisupport utumwa. Mkwawa alishambulia sana wamissionary motive ikiwa ni dini na wamissionary kubana biashara ya utumwa. Walihitaji ulinzi wa serikali zao bila kujali madhehebu .

Sijakuelewa, Mkuu.

Amandla......
 
Inaelekea kuwa sikukutendea haki. Mimi nilidhani umeandika kitabu kitaaluma kumbe ni kufurahisha genge tu. Samahani sana, Mkuu. Lakini kabla sijaondoka, ningependa kukufahamisha kuwa wasomi wenzako wakiweka marejeo kwenye vitabu vyao wanaunganisha andiko na kurasa za kitabu husika. Hii ni kuepusha kujaza tu vitabu hata vile visivyohusiana na maandiko yako. Samahani tena.

Na mwisho, si kila mtu anayekukosoa ni kwa misingi ya dini.

Amandla............
Unazidi kuhamisha magoli, mwisho wa siku utasema ukiweka marejeo laza maandishi na yawe saizi 16 ili yaonekane....

Kwanza umeridhika na marejeo?
 
Wewe kuwa mjinga sio kosa langu, mlaumu mzazi wako,

Nimekupa rejea zote hapo lakini bado unauliza hilohilo
Mimi na wewe sijui nani mjinga kitabu umekiandika kwa lugha ya Kiswahili wewe umendika lugha ya Afrikaans.

Baba yako ndiyo kakufundisha Afrikaans ndiyo Kishwahili.

Wenzako wanarithi mali wewe unarithi ujinga kutoka kwa wazazi wako.
 
Mimi na wewe sijui nani mjinga kitabu umekiandika kwa lugha ya Kiswahili wewe umendika lugha ya Afrikaans.

Baba yako ndiyo kakufundisha Afrikaans ndiyo Kishwahili.

Wenzako wanarithi mali wewe unarithi ujinga kutoka kwa wazazi wako.
Upumbavu wako ufiche kidogo. Kakuambia ni makosa kidogo amazon na yatarekebishwa soon. Bado unaona ndio issue km vile ni makosa ktk kitabu.
 
Inaelekea kuwa sikukutendea haki. Mimi nilidhani umeandika kitabu kitaaluma kumbe ni kufurahisha genge tu. Samahani sana, Mkuu. Lakini kabla sijaondoka, ningependa kukufahamisha kuwa wasomi wenzako wakiweka marejeo kwenye vitabu vyao wanaunganisha andiko na kurasa za kitabu husika. Hii ni kuepusha kujaza tu vitabu hata vile visivyohusiana na maandiko yako. Samahani tena.

Na mwisho, si kila mtu anayekukosoa ni kwa misingi ya dini.

Amandla............
Kuna namna nyingi za kufanya marejeo kwenye andishi la kisomi.

Kama Yericko Nyerere kafanya marejeo kwa kutumia footnotes sioni haja ya yeye kuandika Bibliography au reference yenye page ili hali keshakupa footnotes kabla.

Usiwe mjuvi wa kukosoa ili hali hata kuandika Makala ya kurasa moja huwezi
 
Nilikuwa najua una akili ya funza ila sikuwa najua kwamba wewe ndie funza mwenyewe. Hiyo ni linking tuu, wakichangd itahama ila si kitabu kuwa reprinted. Ndio maana ponds, zitto, mohamed said, basaleh etc wanapata chimbo lao la kujidai wana vichwa maji wa kutosha.
Hawa twende nao taratibu watatuelewa tu
 
Kuna namna nyingi za kufanya marejeo kwenye andishi la kisomi.

Kama Yericko Nyerere kafanya marejeo kwa kutumia footnotes sioni haja ya yeye kuandika Bibliography au reference yenye page ili hali keshakupa footnotes kabla.

Usiwe mjuvi wa kukosoa ili hali hata kuandika Makala ya kurasa moja huwezi

Sasa wewe mwenye kujua kuandika utaita alichokiweka Yericko ni footnote? Mimi nisiyeweza kuandika kurasa hata moja najua kuwa footnote zinakuwa kwenye kurasa husika na zinaunganishwa moja kwa moja na jambo husika, mara nyingi kwa namba. Endnote zinakuwa mwisho wa "chapter" na zenyewe zinahusishwa moja kwa moja na jambo husika. Bibliography ni mkusanyiko wa vitabu au maandishi aliyotumia kuandika kitabu chake. Mimi nilimuuliza hayo madai yake ameyatoa wapi na yeye akaleta orodha ndefu ya vitabu na maandishi ambayo hamna hata moja lenye uhusiano na swali nililomuuliza. Amedai kuwa Immanuel Kant ndie aliyebuni falsafa ya umoja wa mataifa bila hata kutaja wapi aliandika hayo (mwaka alioweka hauna msaada wowote maana Kant inawezekana aliandika "articles" nyingi mwaka huo). Kama aliitoa kwa mwandishi mwingine aliyemnukuu Kant angesema hivyo. Yote haya yanatakiwa ili kuepusha shutuma za plagiarism na kumwezesha msomaji kuhakikisha kilichoandikwa.

Kama hivi ndivyo wasomi wetu mnavyoandika kisomi, basi heri sisi tuliokwepa umande.

Amandla......
 
Unazidi kuhamisha magoli, mwisho wa siku utasema ukiweka marejeo laza maandishi na yawe saizi 16 ili yaonekane....

Kwanza umeridhika na marejeo?

Nimehamisha goli vipi? Toka mwanzo nakuomba uthibitisho wa hayo uliyodai , unapiga chenga. Kujaza orodha ya vitabu haisaidii kitu. Ninachohitaji ni kitu kidogo tu, katika hivyo vitabu ni vipi ulitumia kujenga hoja zako? Ni kitabu kipi cha Kant alimoleta hoja ya Umoja wa Mataifa? Ni mwandishi gani aliyesema kuwa Kant alikuwa jasusi wa Jumuia ya Yesu? Ni wapi wamesema jumuia ya wafabian ni mawakala wa majasusi wa kanisa Anglikana? Sasa msomi aliyebobea kama wewe, uliyefanya utafiti wa kutosha ili uandike kitabu ambacho kitatufungua macho sisi punguani utashindwaje kujibu haya maswali? Hivi unadhani ukikaribishwa kutoa mada inayotokana na kitabu hiki, utapigiwa makofi tu bila maswali?

Sijaridhika, Mkuu, na marejeo yako.

Amandla.......
 
Nimehamisha goli vipi? Toka mwanzo nakuomba uthibitisho wa hayo uliyodai , unapiga chenga. Kujaza orodha ya vitabu haisaidii kitu. Ninachohitaji ni kitu kidogo tu, katika hivyo vitabu ni vipi ulitumia kujenga hoja zako? Ni kitabu kipi cha Kant alimoleta hoja ya Umoja wa Mataifa? Ni mwandishi gani aliyesema kuwa Kant alikuwa jasusi wa Jumuia ya Yesu? Ni wapi wamesema jumuia ya wafabian ni mawakala wa majasusi wa kanisa Anglikana? Sasa msomi aliyebobea kama wewe, uliyefanya utafiti wa kutosha ili uandike kitabu ambacho kitatufungua macho sisi punguani utashindwaje kujibu haya maswali? Hivi unadhani ukikaribishwa kutoa mada inayotokana na kitabu hiki, utapigiwa makofi tu bila maswali?

Sijaridhika, Mkuu, na marejeo yako.

Amandla.......
Jibu ni dogo tu, soma kitabu changu chote utapata kujua mengi usiyoyajua juu ya Immanuel Kant

Kujadili jambo huku hujasoma kitabu changu ni kupuuza msingi wa mjadala wa kisomi
 
Jibu ni dogo tu, soma kitabu changu chote utapata kujua mengi usiyoyajua juu ya Immanuel Kant

Kujadili jambo huku hujasoma kitabu changu ni kupuuza msingi wa mjadala wa kisomi

Kumbe mada yote hii msingi wake ni kuuza kitabu chako? Kwa vile mimi si msomi sidhani kama nitaweza hata kukielewa hicho kitabu. Ninachoweza kufanya ni kukuweka kundi moja na Mohammed Said unayejifanya kumpinga. Wote wawili mnatumia kurasa hizi kujiongezea mapato.

Nilikuwepo.

Amandla.........
 
Kwanza nikuonye bwana mdogo,

Unapojadiliana na mtu hata kama humjui basi kuwa na adabu walau yakuzaliwa.

Juu ya kufanya biashara hilo halina ubishi, kitabu kwa sasa ni biashara kwanza, na kila fursa naitumia kutengeneza pesa, lakini lililokuu kwa nchi yangu ni elimu kwenu na kwa wote

Nikushauri ingawa unaniona bwanamdogo.

Hapa Jf watu wana akili tofauti uwe mvumilivu na usipande jazba. Kama hukuridhika na baadhi ya comment au kuna hitilafu katika baadhi ya michango wewe waeleweshe watu.

Katika comment yangu ya awali nimekusaidia wewe unanambia "unanionya" na niwe na "adabu ya kuzaliwa" Hapo nakusamehe maana dhamira hukuielewa.

Nakusudia kukwambia kuwa kufanya rejea kitabu chako kusisukumwe na Hoja kuwa na Mzee Mohamed Said ndivyo anavyofanya hio itakuwa ni kufanya ushindani na ndio nikasema katika Taaluma huo utakuwa "Utoto" basi. wewe ungefafanua tu kwa huo muktadha. Sasa umekuja na frustration za kunionya na kunifundisha adabu.


La pili nimekupongeza kwa ujasriamali. Mimi siingii katika hayo majibizano ya kitabu

Nakushauri toa maelezo kwa hoja na ushahidi kwa kila kile kinachobishaniwa bila jazba.

Kuwa kama Mzee Mohamed Said.

Pole kwa kukukwaza.
 
Nionazo ni sarakasi tu za Yericko na wenzie kamwe hawawezi kusimama kwa hoja kama alivyo Mzee Mohammed Said, baadhi ya majibu yao kwa comment zitolewazo yamejawa na mihemko na dhana ya ubishani na wala c kumfahamisha yule atakaye kujua kama afanyavyo Mzee Mohammed. Mtu hujifunza busara hata kwa adui yake au anayedhani kuwa mdhaifu kwako, basi hebu jifunzeni busara za kujibu hoja za watu kama afanyavyo mzee Mohammed huenda mkakaribia kueleweka kidogo.
 
Nikushauri ingawa unaniona bwanamdogo.

Hapa Jf watu wana akili tofauti uwe mvumilivu na usipande jazba. Kama hukuridhika na baadhi ya comment au kuna hitilafu katika baadhi ya michango wewe waeleweshe watu.

Katika comment yangu ya awali nimekusaidia wewe unanambia "unanionya" na niwe na "adabu ya kuzaliwa" Hapo nakusamehe maana dhamira hukuielewa.

Nakusudia kukwambia kuwa kufanya rejea kitabu chako kusisukumwe na Hoja kuwa na Mzee Mohamed Said ndivyo anavyofanya hio itakuwa ni kufanya ushindani na ndio nikasema katika Taaluma huo utakuwa "Utoto" basi. wewe ungefafanua tu kwa huo muktadha. Sasa umekuja na frustration za kunionya na kunifundisha adabu.


La pili nimekupongeza kwa ujasriamali. Mimi siingii katika hayo majibizano ya kitabu

Nakushauri toa maelezo kwa hoja na ushahidi kwa kila kile kinachobishaniwa bila jazba.

Kuwa kama Mzee Mohamed Said.

Pole kwa kukukwaza.
kwani shida nini kuweka hisyoria sawa? Mbona kuna matukio mengi serikali imejibu hojabalimbali dhidi ya nchi ulikuwa utoto? Mbona unajianika?

Huyo mohamed said na akina Ponda wana sizable number ya watz waliokwisha danganyika vya kutosha. Sio mbaya nae akiwa ktk list ya watu waliolengwa ktk kuweka historian sawa.

Hivi wewe hayo maswali Niliwahi kuuliza na mohamed said au kelele zote ni za kumtetea kuliko kuhoji weledi wa uandishi wa Yericko?
 
Utaupataje wakati tayari una majibu yako bibie?
Nilitaka kushangaa kama huyu bibie asingetokea labda alikua mgonjwa. Mghaka hawa jamaa nashindwa kuwaelewa pamoja na mwalimu kuwasaidia kwa kutaifisha shule za wakatoliki wenzake bado wanamuita mdini. Hatari .
 
Back
Top Bottom