Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,257
- 12,928
jKwani PAC walifanya walifanya uchunguzi PAC wamefanya summary ya uchunguzi wa PCCB na wa CAG
Na ndiyo hapo issue ilipo. Tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA ana TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au Muhongo?