Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,334
Tatizo sio list mkubwa tatizo hao waliopo kwenye list ni tishio kwa nani kiuchumi na list imetolewa na nani it obvious jibu ni US mjerumani hatishii chochote ila ni hatari kuliko unavyozani.Basi unajifunza sehemu isiyo sahihi mkuu. Coz kwenye nchi hatari kwa hackers duniani na zilizo na utaalamu mkubwa zaidi wa kimitandao na udukuzi wala Germany haipo kwenye list. Sidhani kama lengo lako litatimia, change country or huwez fanikiwa.
Kuna algorithm zinafundishwa kwa siri sana hata hao warusi wanasubiri.
.
Kwanini nasema hawa jamaa ni hatari kwanza hakuna anaewafatilia kwa sababu serikari ya dunia iko pamoja nao kwa kuzingatia hilo utakuwa umenielewa ukihitaji kujiunga na haya mafunzo ni dola 80 kwa mwezi