The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,477
- 6,877
Hiyo mistari inamaanisha hyo card unaweza kuitumia kwenye aina nne za atm mashine.wewe waulize tu vizur
Mkuu mi naona TZ watu wanaiba kwa kukwapua na kutumia silaha zaid, hao wez wa mitandao bongo bado sana tena ukizingatia hiyo maatercard ni ya mbele huko huko na wizi wa mitandao sio rahis ambako ndipo kwenye ma hackers wa ukweli licha iwe huku bongo? Relax, cha kuchunga tu ni namba ya siri na kuangalia vibaka wakwapuaji hizo za mitando we gat a long way to go. Yani bado sanaaa.
Kaibeni Malawi huko, kongo Zambia Zimbabwe mje mjenge nyumbani.Mkuu ukimalza uje ufungue college yako ya kufanya huo umafia,mambo ni mazto sana
Jidanganye mkuu, watu wanapigwa kila leo..kimya kimya wanalia na bank zao
Carding..Hizo card ni rahisi kuibiwa na professional hacker's ambao bongo hatunao wengi, pale unapofanya transaction yoyote kwa kutumia hizo wireless card wanaweza kupata kupata serial number yako na card namba yako wakazitumia kutengenezea accounts zinazohusisha malipo kwanza, wakalipia vitu online kwa pesa yako na kwa kuwa hatuna utaratibu wa kuomba Bank statement basi ndio unaliwa. nipo kwenye training na hackers wa kijerumani ya kufanya huo umafia hata kwa kutumia iris yako mnaopenda kupigapiga selfie
Yani mfano card ipo kwenye wallet,mfuko wa nyuma..mtaalamu kutumia simu tu anakuscania na kupata some details
Yani mfano card ipo kwenye wallet,mfuko wa nyuma..mtaalamu kutumia simu tu anakuscania na kupata some details
sawa mkuu.Ingekua hivyo kila mtu angeshakua kaibiwa tayari.
Bongo wanibiwa kwa kutokutunza namba ya siri, nakuhakikishia bongo hakuna kesi hata moja ya kuibiwa mtandaoni.
Nadhani wabongo wengi ubongo wao waliurecycle kutokana na bongo zilizookotwa yani kitaa mtu akiweza kuinstall windows tayari anaitwa mtaalamBongo wanibiwa kwa kutokutunza namba ya siri, nakuhakikishia bongo hakuna kesi hata moja ya kuibiwa mtandaoni.
Mkuu usi generalise , mimi nimeibiwa mwaka jana na wakati nafuatilia bank ndio nilijua matukio haya yapo baada ya kukutana na wahanga wenzanguBongo wanibiwa kwa kutokutunza namba ya siri, nakuhakikishia bongo hakuna kesi hata moja ya kuibiwa mtandaoni.
Uliibiwa au ulitengeneza mazingira ya kuibiwaMkuu usi generalise , mimi nimeibiwa mwaka jana na wakati nafuatilia bank ndio nilijua matukio haya yapo baada ya kukutana na wahanga wenzangu
Training inafanyikia wapi mkuu?Hizo card ni rahisi kuibiwa na professional hacker's ambao bongo hatunao wengi, pale unapofanya transaction yoyote kwa kutumia hizo wireless card wanaweza kupata kupata serial number yako na card namba yako wakazitumia kutengenezea accounts zinazohusisha malipo kwanza, wakalipia vitu online kwa pesa yako na kwa kuwa hatuna utaratibu wa kuomba Bank statement basi ndio unaliwa. nipo kwenye training na hackers wa kijerumani ya kufanya huo umafia hata kwa kutumia iris yako mnaopenda kupigapiga selfie
Uliibiwa au ulitengeneza mazingira ya kuibiwa
Germans forum of invisible hacker'sTraining inafanyikia wapi mkuu?
huku bongo ni rungu shoka mtama roba ya mbao tu. Ni kweli mkuu ila nilikua najaribu kupata tahadhari tu mana haya mambo unaweza ukakuta akaunti wamesafishaMkuu mi naona TZ watu wanaiba kwa kukwapua na kutumia silaha zaid, hao wez wa mitandao bongo bado sana tena ukizingatia hiyo maatercard ni ya mbele huko huko na wizi wa mitandao sio rahis ambako ndipo kwenye ma hackers wa ukweli licha iwe huku bongo? Relax, cha kuchunga tu ni namba ya siri na kuangalia vibaka wakwapuaji hizo za mitando we gat a long way to go. Yani bado sanaaa.
Tafadhali brother kama unaweza kutupa dondoo zitasaidia kidogo zitakazosaidia kujilinda itakua poa sana.Mkuu usi generalise , mimi nimeibiwa mwaka jana na wakati nafuatilia bank ndio nilijua matukio haya yapo baada ya kukutana na wahanga wenzangu