Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,390
- 26,838
Hello ,
Ijumaa nilienda kupokea kadi yangu ya NMB mpya baada ya kupoteza ya awali.
Sasa kilichonishangaza ni majibu ya muhudumu wa qubicle ya kupokelea kadi.
Nilimuuliza "hivi vistari vinne vilivyojokunya kwenye hii kadi vina maana gani? Kwa kuwa mastercard yangu iliyopotea haikua navyo"
(nilimuuliza tu nipate ufafanuzi zaidi japo nilijua ni mambo za NFC au kifupi wireless/tap tap payments/transactions)
Akajibu: "hiyo inamaanisha INTERNET unaweza kadi yako kutumia kwenye ATM yoyote au POS yoyote"
Nikaona isiwe shida, nikaaga na kusepa.
Hivi kweli hawa jamaa wapo shallow kiasi hiki?
Mana nilitegemea maelezo ya kutosha ikijumuisha risk za kutumia kadi yenye hiyo system na jinsi ya kuziepuka.
-------
Kama kuna mwenye ujuzi zaidi kuhusu hii kitu atupe hapa mana nimesoma soma mitandaoni naona baadhi ya article zinadai ni rahis sana kuibiwa ukiwa na aina hiyo ya kadi.
Jumapili njema
Ijumaa nilienda kupokea kadi yangu ya NMB mpya baada ya kupoteza ya awali.
Sasa kilichonishangaza ni majibu ya muhudumu wa qubicle ya kupokelea kadi.
Nilimuuliza "hivi vistari vinne vilivyojokunya kwenye hii kadi vina maana gani? Kwa kuwa mastercard yangu iliyopotea haikua navyo"
(nilimuuliza tu nipate ufafanuzi zaidi japo nilijua ni mambo za NFC au kifupi wireless/tap tap payments/transactions)
Akajibu: "hiyo inamaanisha INTERNET unaweza kadi yako kutumia kwenye ATM yoyote au POS yoyote"
Nikaona isiwe shida, nikaaga na kusepa.
Hivi kweli hawa jamaa wapo shallow kiasi hiki?
Mana nilitegemea maelezo ya kutosha ikijumuisha risk za kutumia kadi yenye hiyo system na jinsi ya kuziepuka.
-------
Kama kuna mwenye ujuzi zaidi kuhusu hii kitu atupe hapa mana nimesoma soma mitandaoni naona baadhi ya article zinadai ni rahis sana kuibiwa ukiwa na aina hiyo ya kadi.
Jumapili njema