THK DJAYZZ JF-Expert Member Joined Sep 14, 2011 Posts 2,166 Reaction score 175 Dec 5, 2011 #61 Babkey said: ...hahahaaa! Makonda wakati flani wanakera sana, hasa wakitoka kula mchana. Wanatoa vichwa nje ya daladala makalio wanaacha ndani. Kinachoendelea ni harufu zisizoeleweka!! Click to expand... teh teh !
Babkey said: ...hahahaaa! Makonda wakati flani wanakera sana, hasa wakitoka kula mchana. Wanatoa vichwa nje ya daladala makalio wanaacha ndani. Kinachoendelea ni harufu zisizoeleweka!! Click to expand... teh teh !
L laun Senior Member Joined Sep 5, 2011 Posts 111 Reaction score 26 Dec 5, 2011 #62 ABIRIA: Nimedondosha 50 ndani ya gari nitakupa 250;hiyo iliyobaki utaokota wakat wa kufagia KONDA : Ungedondosha hela zote nijue hauna nauli...
ABIRIA: Nimedondosha 50 ndani ya gari nitakupa 250;hiyo iliyobaki utaokota wakat wa kufagia KONDA : Ungedondosha hela zote nijue hauna nauli...
Sita Sita JF-Expert Member Joined Aug 25, 2008 Posts 1,451 Reaction score 629 Dec 5, 2011 #63 Yesu hana Album..... Ina ukweli lakini
THK DJAYZZ JF-Expert Member Joined Sep 14, 2011 Posts 2,166 Reaction score 175 Dec 12, 2011 #64 laun said: ABIRIA: Nimedondosha 50 ndani ya gari nitakupa 250;hiyo iliyobaki utaokota wakat wa kufagia KONDA : Ungedondosha hela zote nijue hauna nauli... Click to expand... Yap ! Kumbe eeh
laun said: ABIRIA: Nimedondosha 50 ndani ya gari nitakupa 250;hiyo iliyobaki utaokota wakat wa kufagia KONDA : Ungedondosha hela zote nijue hauna nauli... Click to expand... Yap ! Kumbe eeh