Majibu ya kukatana stim

...hahahaaa!
Makonda wakati flani wanakera sana, hasa wakitoka kula mchana. Wanatoa vichwa nje ya daladala makalio wanaacha ndani. Kinachoendelea ni harufu zisizoeleweka!!

teh teh !
 
ABIRIA: Nimedondosha 50 ndani ya gari nitakupa 250;hiyo iliyobaki utaokota wakat wa kufagia
KONDA : Ungedondosha hela zote nijue hauna nauli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…